je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,864
- 3,594
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika.Ni jinsi gani naweza kumshauri mtu namna ya kuacha kubet maana ameshaliwa Sana karibia mil 2 na zaidi lakin hakomi na akili yake anawaza huenda huko mbeleni atakuja na yeye ale.yeye mwenyewe anatamani kuacha lakini anashindwa anatamani msaada wa watu karibu unakosekana .
Nimejaribu kumwambia hizo kampuni za kubet sio kwamba hawana akili watoke wanakotoka waje huku wavunwe wao wapo hapa nchini kwa ajili ya kuwavuna watu kama nyie ambao mna tamaa na hela za bwerere wao wanalipa kodi serikali wanakodisha maeneo yanayovutia sehemu zao zile Zina tv ukuta mzima alafu ww kweli uje kuwala hela ya maana ?
Utaishia tu kula hizo elfu 10 hadi laki lakin ona sasa unaliwa hadi mil 1? Au wale wenye makampuni ya kubet wanaroga mtu uwe na arosto ya kubet?
How come mwanafunzi wa chuo unabet hadi hela ya accomodation na stationery.?
Nimejaribu kumwambia hizo kampuni za kubet sio kwamba hawana akili watoke wanakotoka waje huku wavunwe wao wapo hapa nchini kwa ajili ya kuwavuna watu kama nyie ambao mna tamaa na hela za bwerere wao wanalipa kodi serikali wanakodisha maeneo yanayovutia sehemu zao zile Zina tv ukuta mzima alafu ww kweli uje kuwala hela ya maana ?
Utaishia tu kula hizo elfu 10 hadi laki lakin ona sasa unaliwa hadi mil 1? Au wale wenye makampuni ya kubet wanaroga mtu uwe na arosto ya kubet?
How come mwanafunzi wa chuo unabet hadi hela ya accomodation na stationery.?