BET's cypher: Eminem goes in on Trump

Eminem pia kamwita Mama yake Mzazi bitch au Mbwa jike ambaye anakazwa na Mbwa wengi, Je wewe unaweza kumwita Mama yako mzazi bitch?
Kwa maana unata kulinganisha!
Hivi huwa unaelewa unaposoma au huwa unayaona maandishi tu na kusoma herufi?
 
Nimeelewa, jibu ni sawa kumuuita Mama mzazi bitch? Kwa maana USA kwa mujibu wa Eminem ni sawa!
Sisi tunazungumzia kuhusu Rais Trump kutukanwa, mbona hata nay amemuimba mama yake vibaya vipi alipimwa mkojo? Lakini ilikuwaje nay huyohuyo alipoimba wapo?
 
The BET Hip Hop Awards were taped in the 305 this past Saturday and aired tonight [Oct.10] on BET.

Per usual, one of the highlights was the cypher and Em came back from 'retirement' and dropped some major shade on Donald Trump.

Take a look...



What y'all think? Pass or fail?

Tsup, holmes! Long time no see asee!. Dah, after watched that deluge (Coz there's no other proper way of calling it), I realized, Em will go down the books of Hip-hop history as one of the truest MCs to ever hold a mic.

A big PASS.
 
Atatoaje matamshi hayo kwetu, kwani yeye ni Mtanzania? Usikute hata Tanzania haijui.
Weee!! Nchi maarufu sana mkuu itakua ajabu sana km atakua haijui Tz ata kwa kuisikia tu.. Najua si mtanzania bt ni binadamu inaweza tokea siku moja akatua ndani ya ardhi ya tz ila apo ndo nasema isije tokea matamshi yake hayo akayatamka apa kwetu hasa ktk awamu hii atajuta
 
Weee!! Nchi maarufu sana mkuu itakua ajabu sana km atakua haijui Tz ata kwa kuisikia tu.. Najua si mtanzania bt ni binadamu inaweza tokea siku moja akatua ndani ya ardhi ya tz ila apo ndo nasema isije tokea matamshi yake hayo akayatamka apa kwetu hasa ktk awamu hii atajuta

Ahh! ndugu yangu....hivi Tanzania nayo imo kwenye nchi maarufu duniani? Kwa lipi labda?
 
Back
Top Bottom