Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Leo aliyekuwa waziri mkuu bwana Edward Lowasa anatiza miaka mitatu tangu aachie ngazi/ajiuzulu uwaziri mkuu.
Leo aliyekuwa waziri mkuu bwana Edward Lowasa anatiza miaka mitatu tangu aachie ngazi/ajiuzulu uwaziri mkuu.
Wa TZ bwana wanafiki leo wanasema hiv kesho vile hayaingawa ni mwizi lakini mi naukumbuka utendaji wake wa kazi. nchi hii inatakiwa kiongozi mkuu awe dikteta ndiyo ataiweza. mfano angalia Rwanda na Uganda - wanasonga sababu hiyo hiyo.
Wakuu wa wilaya kwa sasa wanakula bata tu, ila enzi zake kuna baadhi yao walitaka kuacha kazi.
Hepi basidai EL, wa TZ kuna siku watakukumbuka tu.