BET nako kuna UFISADI

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
well kama ufujaji wa pesa ni sawa na UFISADI then this fits the bill

BODI ya Biashara ya Nje (BET) imekumbwa na mtafaruku kiasi cha Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko kumwagiza mwenyekiti wa bodi, kuitisha kikao ili kujadili matatizo hayo yanayomgusa moja kwa moja Mkurugenzi Mkuu.

Wizara hiyo imemwagiza mwenyekiti wa bodi kujadili mapungufu ya BET, ambayo yamekuwa yakiwasilishwa wizarani kwa njia ya barua za wafanyakazi zenye malalamiko lukuki.

Malalamiko ambayo bodi imeagizwa kuyajadili ni pamoja na madai ya uongozi mbovu unaodaiwa kufanywa na Mkurugenzi Mkuu wa BET, ubadhirifu na ufujaji wa fedha unaodaiwa kufanywa na mkurugenzi huyo na kuwa na safari nyingi zisizokuwa za lazima.

Maeneo mengine yenye malalamiko ni ununuzi wa magari chakavu, kinyume na kanuni na sheria za manunuzi na fedha, na utawala wa kuwagawa watumishi na utawala wa mabavu, unaodaiwa kufanywa na Mkurugenzi Mkuu Ramadhan Khalfan.

“Wakati wa majadiliano yetu nilikueleza kuwa barua kadhaa zimepokewa na ofisi yangu zikidai kuwa kuna mapungufu…Baada ya majadiliano ya kina na kabla ya Wizara kuchukua hatua yoyote ningependa uitishe Bodi yako, iweze kumwita Mkurugenzi Mkuu ili aweze kutoa majibu kwa yaliyoelezwa,” inasema sehemu ya barua ya Katibu Mkuu, ambayo Raia Mwema imefanikiwa kuona nakala yake.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Bodi ya BET, Profesa Hasa Mlawa, alipoulizwa na Raia Mwema Jumatatu wiki hii, alisema kwamba malalamiko hayo hayajadiliwa na bodi yake, bali imekuwa ikishughulikia mkakati wa kuliboresha shirika hilo.
http://www.raiamwema.co.tz/08/04/09/6.php
 
sasa...duh! Tunaelekea kwa wenzetu Nigeria,kwa sababu huko inasemekana habari za wizi wa dollar milioni tatu au nne zinaandikwa kwenye ukurasa wa michezo! Mabilioni ndio ukurasa wa mbele.Maana sikuhizi husomi gazeti bila kuikuta habari ya ufisadi.Mpaka kuna wengine ni mafisadi lakini hawajijui...
 
hahaah haya sasa mambo yanaanza kuonekana..wajua alipochaguliwa kuwa Mkurugenzi mkuu watu wanaomjua na wanaojua sababu gani imepeleka kupewa wadhifa huo...walibaki midomo wazi na bila kuamini kilichotangazwa....ila atamuweka wapi binamu yake?hata ubunge aliweza kumkingia kifua akamuweka hapo hata bila kamati siasa wlaya kujua ametokea wapi...wakati walikuwa na majina ya waluioyapendekeza...alipoona ameharibu kule likiwemo kumpiga vibao dereva mmoja sababu eti wamepishana vibaya barabarani....akaamua kumtafutia hapo...nafikiria sana hicho cheo kitangwazwe watu wafanyishwe interview na makampuni kama PWC ama Delloitte....hapo hakutakuwa na kubebana na kuwekana kulinda maslahi............nawakilisha
 
whooooop!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!hapa ndipo ninapojisikia kwanini niko duniani nikiwa nasoma JFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFFF
SHUKRANIII si maana ya ahsante bali ni kuamini watu sasa wameanza kufumbuka na kuona ufisadi si lowassa pekee bali uko ki9la sehemu.....
read the data n advs

BET
.....
kwangu mimi hili swala la BET nimepigana nalo sana nikiwa tanzania na mpaka sasa nikiwa huku sijui wapi inalekea,,,,BET kuna matabaka ambayo kama wewe waziri unasoma huku usipokuwa makini utakuja kusahau kama kulikuwa kuna BET kwenye ulimwengu wa DUNIA,,....ni swaala la kusikitisha ,kwangu mimi niliposikia huyu jamaa amechaguliwa nikajua mambo mazuri nayakuja BET....matokeo yake ule uhuni wizi ufisadi uliokuwa unafanywa nyuma ndio huyu bwana anaundeleza

1)))UBABE USIO NA MAANA
kumekuwa na malalamiko mengi sana huyu bwana katika kutumia wizi wa kisayansi amejikuta akitumia mabavu kulazimisha watu wamwogope aendeleze maovu yake.....
nakumbukka kipindi cha mzee wetu aliekuwa mkurugenzi hayati BULIKI yeye alijitahidi sana kutoiba na kama alifnya ufiisadi si wa kutisha kiasi kama walichofaynya wa nyuma yake
 
labda kilichomshinda mzee wetu ni jinsi alivyokkuwa akitembeza bakora yake kwa kila anainama mbele yake na hakika nyie wenye wake zenu pale BET hasa wenye makalio makubvwa mna hali ngumusana mh akusita kutumia bakora yake sawia .....swali ninalomuuliza mh waziri wewe kama uko pale kwa maslahi ya tanznaia uliza kuna makontena yalipeleka vitu japan kwenye monyesho matokeo yake wakati wa kurudi wakuu wakaleta vitu vya akili kwenye doc wakadai ni mizigo ya BET ...KATIKA KUKAGUA WAZEE WA tra wakakutana na mabaskeli zaidi ya 200 vifaa vya umeme sijui kama waliweza kuvikomboa......huyu bwana alipoingia aasema atshugulikia yako wapi kam si na yeye kununua magari mabovu na kula cha juu hakika na wahakikishia damu ya watanzania haitawaacha ibeni kila kitu lakini si mali za mtanzania

BOT
LYUMBA:::wewe umekuwa ukiwahakikishia watu kwamba hakuna atakaekamata kiti chako,,,nafikiri dunia imekufundisha ujafa ujaumbika ...wapi yale magari mekundu mliokuwa mkigawa kwa madada zetu na kungangania kadi za gari mpaka mtu akifa mnakimbilia kudai gari zenu....na ndugu yako KIMEI WA crdb...hakika hili alitaawacha.....

mshomero:wewe ndugu yangu wala sisemi afadhali hata huyu malaya lyumba aliweza kuwekeza magari kwa madada zetu siku yamwisho anjua wakifa ana kadi ya gari mwisho wa mchezo wewe nyumba umeandika mwanamke gari yeye haya sasa amekufumania sijui unaishi wapi na najua hata jamaa zako wa BOT hawajui ngoja nikusiaidi kuwaambia labda uutapata doneee za kodi =ya nyumba mkiwa kazini hata kama mnaiba kumbukeni kuwekeza jamani

ATCL::
HAPOO SIONGEI NITAREJESHA MSAAFU WA NYUMA NAKUSIKILIZA HOJA

ZITO UKO WAPI WEWE KUSHUGULIKIA MATUMIZI YA MASHIRIKA YA UMMA AU HIKO CHEO CHA UENYEKITI NDIO WAMEKUMALIZA WAKIANZA TUNAMALIZA KUMBUKA HILO....
EMBU NENDA ULIZA HAYA MASHIRIKA MATUMIZI YAKE UTALIA NDUGUYANGU HATA UBUNGE UTOITAJI

WAZO::::::::
JAKAYA MRISHO KIKWETE NAFIKIRI MPAKA SASA UMEONA MATATIZO YA KUCHGUA MARAFIKI TU ILI MRADI KUWA WAKURUGRNZI WA MASHIRIKA YA UMMA NA MWISHO KUISHIA NA KASHFA YA WIZI NAHISI UNAITJAI
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom