Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,177
- 17,804
Beyonce hana nyimbo za maana!!?Beyonce kila mwaka anapata tuzo wakati hana nyimbo za maana ndo maana kuna watu wanasema hayo matuzo ni km kuongeza mabati tu ndani
Nyie ndio mnamvimbisha kichwa huyo Sadala wenu hadi ajiona mkubwa dunia nzima wakati mwisho wake ni Kenya tu.