imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Nilisoma na mwanaume mwenzangu bording A level alikuwa ni shoga maarufu.ila mimi sijawahi kumduu.juzi amekuja kwangu tumelala usiku anaomba nimfanye?.
Nimekataa anadai anahamu na atakuja tena weekend hii.
Jamani nishaurini nimfanyeje? Namueleza madhara hanielewi!
Nimekataa anadai anahamu na atakuja tena weekend hii.
Jamani nishaurini nimfanyeje? Namueleza madhara hanielewi!