Labda Tanzania, tutakombolewa na politicians ambao ni opporutnists, kama kina Mwakyembe, na Mama Kilango, maana ni through their political opportunism The Mighty Lowassa, ameondolewa, the untouchables Karamagi, na Msabaha wameachia ngazi,
Mungu Aibariki Tanzania!
Mkuu FMES!
Nakubaliana na wewe kuwa binadamu kuwa 'opportunists' sio tatizo....hata kuwa 'ambitious' nayo vile vile sio kitu kibaya.....TATIZO ni watu wanaokuwa na hizi hulka halafu wanashindwa kuzi'control'....mpaka wanapoteza dira na malengo yao....i.e. Mh. mbunge wa Monduli...na hivi hataingia tena kwenye CC ya chama chake...maana walibadili kanuni kwenye mkutano mkuu uliopita ikawa PM anaingia kwenye CC kwa kutumia cheo chake....kwa hiyo Pinda moja kwa moja yuko kwenye CC na Mh. mbunge wa Monduli moja kwa moja ametoka...na atabaki kuwa mjumbe wa NEC!