best man na matron wa harusi mhhhh!

Nailyne

JF-Expert Member
Dec 11, 2010
350
111
wakuu ukiangalia harusi za siku hizi nyingi utakuta wasimamizi wa harusi sio mke na mume sasa ukifika wakati wa kufungua mziki unashtukia bestman mkewe huyu hapa kaja kuchukua mumewe na matroni na yeye mumewe huyu hapa anakuja kucheza na mkewe na mbaya zaidi unakuta saa nyingine msimamizi mmoja mwenzi wa wake wa ndoa hajaja kwenye hiyo harusi basi kwa sababu kashanyanywa patna anabaki kushanga shangaa tuu ukumbini, swali langu hivi nini hasa watu wanachofikiria hadi kumkataza mke/mume akisimamia harusi asicheze na matron au patron ambaye si mkewe? ni wivu, kutoaminiana, au kutojiamini??
 
Nailyne... if your man or woman is around... Why would you want to dance with another??
 
Ushamba tu na wivu wa kitoto, maana kwenye gari koote wanakaa pamoja, kule mbele story wanapiga itakuwa kufungua music ambapo wanafungua mbele ya kadamnasi? wanaharibu tu harusi za watu ni bora kama una wivu sana mkatalie partner wako kusimamia harusi
 
Nailyne... if your man or woman is around... Why would you want to dance with another??
msimamizi wa harusi yuko pale ili kukamilisha tukio hilo, ambalo ni pamoja na kufungua mziki,kwani ukifungua mziki na msimamizi mwenzio wa ndoa wakati mke/mumeo yupo maanake humpendi mumeo/mkeo au unakamilisha ratiba ya unayemsimamia for 3minutes!!
 
msimamizi wa harusi yuko pale ili kukamilisha tukio hilo, ambalo ni pamoja na kufungua mziki,kwani ukifungua mziki na msimamizi mwenzio wa ndoa wakati mke/mumeo yupo maanake humpendi mumeo/mkeo au unakamilisha ratiba ya unayemsimamia for 3minutes!!


Ni ngumu saaana kuelezea... ila nimekupata the logic behind ulioongea katika hii post....
 
Ushamba tu na wivu wa kitoto, maana kwenye gari koote wanakaa pamoja, kule mbele story wanapiga itakuwa kufungua music ambapo wanafungua mbele ya kadamnasi? wanaharibu tu harusi za watu ni bora kama una wivu sana mkatalie partner wako kusimamia harusi

u said it all my dea
 
halafu watu wengi hawajui....ukiwa na chemistry na mtu mwingine

huwa inaongeza mno hamu kwa mpenzi wako pia....hasa kama na yeye yupo hapo.....

ku flirt na watu wengine huongeza hamu ukirudi home...
kuliko kugandana na mtu wako tu huyo huyo....
 
halafu watu wengi hawajui....ukiwa na chemistry na mtu mwingine

huwa inaongeza mno hamu kwa mpenzi wako pia....hasa kama na yeye yupo hapo.....

ku flirt na watu wengine huongeza hamu ukirudi home...
kuliko kugandana na mtu wako tu huyo huyo....

ku flirt kwa wandoa kuna faida as u said bt chances za kuleta madhara ni kubwaa,ikiwa wote mnao flirt mnajua mipaka yenu thats okay,bt kama mmoja ana flirt wakati mwingine yuko serious...ul be introuble the boss!
 
na bora hiyo ya mziki je wengine wanaaga wanasaidia honeymoon maharusi..
 
Ushamba tu na wivu wa kitoto, maana kwenye gari koote wanakaa pamoja, kule mbele story wanapiga itakuwa kufungua music ambapo wanafungua mbele ya kadamnasi? wanaharibu tu harusi za watu ni bora kama una wivu sana mkatalie partner wako kusimamia harusi
<br />

Nilisimamia harusi tatu bila mume wangu, kwenye ya kwanza mke wa bestman aliinsist kufungua naye mziki, akiwa amekiacha kitoto cha mwezi mmoja ili kumstalk bwana harusini..luckly my husband was around

Kwenye ya pili mke wa bestman aliingia katikati ya dance na kumvuta mume wake na kukata mauno hadi chini kwenye mziki wa kawaida tu, it was such a huge embarrasment to the wedding actually, luckly mdogo wangu alikuwa one of the bridegroom mates so nikadance naye to the end

Ya tatu the bestman's wife was a friend and wedding went well

Solution: I only agree if they request me and my husband, but I fail to understand public dance insecurity!
 
<br />

Nilisimamia harusi tatu bila mume wangu, kwenye ya kwanza mke wa bestman aliinsist kufungua naye mziki, akiwa amekiacha kitoto cha mwezi mmoja ili kumstalk bwana harusini..luckly my husband was around

Kwenye ya pili mke wa bestman aliingia katikati ya dance na kumvuta mume wake na kukata mauno hadi chini kwenye mziki wa kawaida tu, it was such a huge embarrasment to the wedding actually, luckly mdogo wangu alikuwa one of the bridegroom mates so nikadance naye to the end

Ya tatu the bestman's wife was a friend and wedding went well

Solution: I only agree if they request me and my husband, but I fail to understand public dance insecurity!


kama umesimamia harusi tatu
basi wana haki ya kuwa na wasiwasi

itakuwa something about the way you look........lol
 
wakuu ukiangalia harusi za siku hizi nyingi utakuta wasimamizi wa harusi sio mke na mume sasa ukifika wakati wa kufungua mziki unashtukia bestman mkewe huyu hapa kaja kuchukua mumewe na matroni na yeye mumewe huyu hapa anakuja kucheza na mkewe na mbaya zaidi unakuta saa nyingine msimamizi mmoja mwenzi wa wake wa ndoa hajaja kwenye hiyo harusi basi kwa sababu kashanyanywa patna anabaki kushanga shangaa tuu ukumbini, swali langu hivi nini hasa watu wanachofikiria hadi kumkataza mke/mume akisimamia harusi asicheze na matron au patron ambaye si mkewe? ni wivu, kutoaminiana, au kutojiamini??

How close is close? Nadhani ni tofauti tu ya mitizamo. Kuna wengine hawapendi wapenzi wao 'washikwe' na mtu mwingine wa jinsia tofauti, kwa wengine pengine hili sio tatizo kabisa. Na wengie hawapo comfortable kushikwa na mtu mwengine (asiye mumewe/mkewe) 'mbele za watu'!
 
ku flirt kwa wandoa kuna faida as u said bt chances za kuleta madhara ni kubwaa,ikiwa wote mnao flirt mnajua mipaka yenu thats okay,bt kama mmoja ana flirt wakati mwingine yuko serious...ul be introuble the boss!

yes ni mbaya kama mnakutana kila siku but harusi
mnaweza msikutane tena,so ni bora ku flirt kwenye harusi
ukitoka hapo unarudi kwa wakwako na appetite zaidi...
 
<br />

Nilisimamia harusi tatu bila mume wangu, kwenye ya kwanza mke wa bestman aliinsist kufungua naye mziki, akiwa amekiacha kitoto cha mwezi mmoja ili kumstalk bwana harusini..luckly my husband was around

Kwenye ya pili mke wa bestman aliingia katikati ya dance na kumvuta mume wake na kukata mauno hadi chini kwenye mziki wa kawaida tu, it was such a huge embarrasment to the wedding actually, luckly mdogo wangu alikuwa one of the bridegroom mates so nikadance naye to the end

Ya tatu the bestman's wife was a friend and wedding went well

Solution: I only agree if they request me and my husband, but I fail to understand public dance insecurity!

asante kwa kushare yaliyojiri.. sasa kama huyo mwanamke aliyekuja kumvuta mumewe na kuanza kukata mauno alikuwa anajaribu kuleta picha gani, sometimes watu wanaharibu shughuli za watu bana, mimi harusi ya mdogo wangu matroni mumewe hakuwepo ukumbini alikuja almost muda wa kufungua mziki, na akaja pale mbele chini kapiga sendals,pensi na ki-tishirt flan hivi ,tukiangalia cd za hiyo shughuli huwa tunacheka sana...,
 
asante kwa kushare yaliyojiri.. sasa kama huyo mwanamke aliyekuja kumvuta mumewe na kuanza kukata mauno alikuwa anajaribu kuleta picha gani, sometimes watu wanaharibu shughuli za watu bana, mimi harusi ya mdogo wangu matroni mumewe hakuwepo ukumbini alikuja almost muda wa kufungua mziki, na akaja pale mbele chini kapiga sendals,pensi na ki-tishirt flan hivi ,tukiangalia cd za hiyo shughuli huwa tunacheka sana...,
<br />
<br />
Yaani watu wengine wanaharibu shughuli tu jamani
 
How close is close? Nadhani ni tofauti tu ya mitizamo. Kuna wengine hawapendi wapenzi wao 'washikwe' na mtu mwingine wa jinsia tofauti, kwa wengine pengine hili sio tatizo kabisa. Na wengie hawapo comfortable kushikwa na mtu mwengine (asiye mumewe/mkewe) 'mbele za watu'!

you nailed it mkuu, kama shida is the way u dance wekeni mipaka, of coz kama msimamizi si mume/mkeo wa ndoa mtacheza bila kukumbatiana hilo mbona linawezekana??
 
kama umesimamia harusi tatu<br />
basi wana haki ya kuwa na wasiwasi<br />
<br />
itakuwa something about the way you look........lol
<br />
<br />
Nimesimamia nyingine na mume wangu, ukweli its not about how u look in bongo its affordability as well,
Unaanza kushona nguo za kitchen party, send off n wedding na mchango juu!!
 
Ushamba tu na wivu wa kitoto, maana kwenye gari koote wanakaa pamoja, kule mbele story wanapiga itakuwa kufungua music ambapo wanafungua mbele ya kadamnasi? wanaharibu tu harusi za watu ni bora kama una wivu sana mkatalie partner wako kusimamia harusi

umenena
 
Back
Top Bottom