Best English Course Center

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
495
375
Tuwasaidie wenzetu ambao wanataka kujifunza kiingereza au ku-improve kiingereza chao kwa kuwaelekeza vituo bora vya kujifunzia.

kwa yeyote aliyepo Dar aje hapa British Council hapa posta mpya karibu na ubalozi wa Zambia au karibu na wizara ya NISHATI NA MADINI.

kwa wale wa mwanza sijajua vituo vizuri wadau wa mwanza watakuja hapa kutueleza, wa ARUSHA, TANGA, MBEYA, NK. Please tuwasaidie wenzetu.
 
Tuwasaidie wenzetu ambao wanataka kujifunza kiingereza au ku-improve kiingereza chao kwa kuwaelekeza vituo bora vya kujifunzia.

kwa yeyote aliyepo Dar aje hapa British Council hapa posta mpya karibu na ubalozi wa Zambia au karibu na wizara ya NISHATI NA MADINI.

kwa wale wa mwanza sijajua vituo vizuri wadau wa mwanza watakuja hapa kutueleza, wa ARUSHA, TANGA, MBEYA, NK. Please tuwasaidie wenzetu.

Tunashukuru sana kaka na ubarikiwe, ila hatujajua gharama zake ili tujipange na sisi tulioko Moshi msaada tunaweza kuufuata wapi
 
Mkuu vipi hapo British Council bado wanatoa elimu nzuri ya kuongea kiingereza, na inachukua muda gani mtu kujua.
 
Back
Top Bottom