B.G TANTAWI
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 495
- 375
Tuwasaidie wenzetu ambao wanataka kujifunza kiingereza au ku-improve kiingereza chao kwa kuwaelekeza vituo bora vya kujifunzia.
kwa yeyote aliyepo Dar aje hapa British Council hapa posta mpya karibu na ubalozi wa Zambia au karibu na wizara ya NISHATI NA MADINI.
kwa wale wa mwanza sijajua vituo vizuri wadau wa mwanza watakuja hapa kutueleza, wa ARUSHA, TANGA, MBEYA, NK. Please tuwasaidie wenzetu.
kwa yeyote aliyepo Dar aje hapa British Council hapa posta mpya karibu na ubalozi wa Zambia au karibu na wizara ya NISHATI NA MADINI.
kwa wale wa mwanza sijajua vituo vizuri wadau wa mwanza watakuja hapa kutueleza, wa ARUSHA, TANGA, MBEYA, NK. Please tuwasaidie wenzetu.