The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,503
- 2,046
Nimesikiliza kwenye taarifa ya habari ya dw kuhusu mwanasiasa mkongwe wa siasa za upinzani nchini Uganda ambapo wamesema huenda wazo la kuunganisha vyama kumi vya kisiasa nchini uganda na kuunda muungano mpya wa kisiasa dhidi ya nrm, alilipata nchini kenya ambako alifanya ziara hivi karibuni.
Ndipo nikajiuliza hivi angechagua kuja hapa kwetu kwa ajili ya kujifunza kuna chochote angeambulia kama somo la namna ya kuendesha siasa za upinzani!?
Ndipo nikajiuliza hivi angechagua kuja hapa kwetu kwa ajili ya kujifunza kuna chochote angeambulia kama somo la namna ya kuendesha siasa za upinzani!?