Mwaka huu hatoboi,utaniambia!Yaani Zitto naye hajitambui tu.
Huwa nampendaga Ponda anajua haki ina maana gani.Shekhe Ponda Issa Ponda ni kiboko Ubwabwa kwake mwiko HAKI kwanza
Membe kwa background yake anajua anazungumza nini , nimemuelewa ndio maana nikastress hiyo point,..mbona magufuli amekuwa akifanya kampeni makanisani na misikitini tangu aingie madarakani?
..mbona ccm imekuwa ikipigiwa kampeni na viongozi wa dini na ktk kampeni hizi?
..kamati ya amani ya viongozi wa dini iko kwa ajili ya ccm, au kwa ajili ya nchi, na vyama vyote vya siasa?
..Watanzania tuache UNAFIKI. kuliko kuendelea kuwafanya viongozi wa dini kuwa miliki ya ccm, ni bora tukawapa uhuru kukampeni waziwazi kwa yeyote wanayemuunga mkono.
Moto uwake tu hatuna cha kupoteza sisi..ccm ishatupa mateso hadi yamekuwa sehemu ya maisha yetu.Membe kwa background yake anajua anazungumza nini , nimemuelewa ndio maana nikastress hiyo point,
Ni hatari sana kutumia hiyo kete, tunachezea moto karibu na tank ya mafuta.
Hili jambo liachwe mara moja.
Hili nalo nenohairuhusiwi kuseme unamuunga mkono rais fulani wakati na wewe ni mgombea wa huo urais. Ukisema hivyo unatakiwa upelekwe Milembe
Kwaiyo Membe hamuheshimu Zitto na Maalim seif anataka kuleta mpasuko kwa kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto na Mwenyekiti wa Chama chake Maalim SeifWalisema watu binafsi Zitto na Maalim Seif, hakikusema chama! Ndivyo alivyosema Membe. Inamaanisha kuwa hakuna siku yoyote ambayo chama kilikaa na kukubaliana kumuunga mkono Lissu
Kwaiyo Membe hamuheshimu Zitto na Maalim seif anataka kuleta mpasuko kwa kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo Zitto na Mwenyekiti wa Chama chake Maalim Seif
Tena pengine angetangaza kumuunga mgombea wa kijani kwenye jukwaa moja na lissu akiwemo-na angekuwa ameharibu kampeni ya mwisho ya hapa Dar kutokana na taharuki.Maalim Seif nimemwelewa sana leo,huyu jamaa kavuruga hesabu zote; Inawezekana mzee wetu kachero goli lake la dakika 89 lilikuwa ni kuvuruga upinzanii kwa kumuunga mkono kiongozi wa chama kijani