wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,593
- 3,148
Pazuri sana ,funga mkaja ,mambo mazuri yako mbeleni,Roma haikujengwa siku moja ,lazima tujinyime kwa ajili yetu na vizazi vijavyo,tunakomesha mambo ya holela
Najaribu kusema ukweli Bro, kwani wewe unaona tunaelekea Pazuri?