Hakuna anayeweza kupinga kwa hoja kwamba kwa sasa ndani ya CCM Tishio namba moja kwa JPM ni Kachero Mbobezi Bernard Kamiliusi Membe.. Huyu mtu Sifa zake Zinakaribia kufanana Sana na za Kikwete.Anaonekana ni mtu mwenye busara na Huruma. Na muonekano wake, anaonekana ni mtu mtulivu sana. Smat. Hana pupa. Ni understand. Muelewa sana. Pia anaonekana ni mtu mwenye damu ya kupendwa Kama ilivyo kwa Jakaya Kikwete.na anaonekana ni mpole na mnyenyekevu sana,
Jana nimeona clip ktk mitandao. Ni Msiba alikuwa anajaribu kumchafua Bernard Membe. Lakini nilichogundua, tuhuma alizotoa Juu ya Membe ni nyepesi sana, yaani Kama tuhuma hizo tu ndio Msiba anategemea amtishe nazo Membe basi namshauri ajipange upya kwa sababu kishindo cha huyu Kachero Mbobezi huko mbele kitakuwa siyo kidogo Kama ambavyo Msiba anafikiri.
Nimkumbushe tu Msiba kuwa hata JPM wakati wa kampeni kulikuwa kunatolewa tuhuma nyingi juu yake Kama vile Kugawa nyumba za Serikali kwa marafiki zake, kuleta kivuko kibovu na kuliingizia Taifa hasara ya mabillioni nk.lakini wananchi waliona tuhuma hizo hazina uzito sana na matokeo wakaamua kumchagua kutokana na record yake alipokuwa wizara ya Ujenzi. Bahati mbaya sana kwa Msiba ni kwamba hizi Tuhuma amekosea na kuzitoa mapema sana, kiasi kwamba mpaka kipindi cha uchaguzi kifike zitakuwa zime expire .
Zaidi kinachomfanya Bernard Membe, Kachero Mbobezi kung'aa sana kwa sasa ni kutokana na utendaji kazi wa JPM ambao Wananchi wengi wanaona haufai. Na hii inatokana na kuporomoka kwa hali za uchumi za wananchi wengi na kusababisha maisha Yao kuwa magumu sana tofauti na miaka minne iliyopita.
JPM anaonekana kutawala Nchi kwa nguvu kubwa sana, jambo linalopelekea wateule wake kufanya kazi kwa woga na bila ubunifu. Kwa sababu mtu Muoga hawezi kuwa Mbunifu.Mtu Muoga hupenda Sifa.
Kwa hali ya Kisiasa ilivyo sasa Hata wapinzani wataona ni bora kumpa sapoti Membe pengine labda kunaweza kuwapa ahueni hali itakawafanya waweze kufanya siasa bila kubughudhiwa Kama ilivyokuwa wakati wa Kikwete. Ndani ya CCM hali ni hivyo hivyo. Wengi wanaugulia maumivu. Watu wamechoka.
Kwa ndugu Membe, kuna hii kauli yake aliyoitoa majuzi. "KAZI NA BATA" hii kauli inaamsha hisia za watu wengi sana,Ndani ya CCM na hata Upinzani. Ni kauli inayowapa watu matumaini mapya baada ya kukata tamaa, Wananchi hawako tayari kuendelea kuvumilia hali hii ngumu ya maisha kwa miaka mingine mitano.
Jana nimeona clip ktk mitandao. Ni Msiba alikuwa anajaribu kumchafua Bernard Membe. Lakini nilichogundua, tuhuma alizotoa Juu ya Membe ni nyepesi sana, yaani Kama tuhuma hizo tu ndio Msiba anategemea amtishe nazo Membe basi namshauri ajipange upya kwa sababu kishindo cha huyu Kachero Mbobezi huko mbele kitakuwa siyo kidogo Kama ambavyo Msiba anafikiri.
Nimkumbushe tu Msiba kuwa hata JPM wakati wa kampeni kulikuwa kunatolewa tuhuma nyingi juu yake Kama vile Kugawa nyumba za Serikali kwa marafiki zake, kuleta kivuko kibovu na kuliingizia Taifa hasara ya mabillioni nk.lakini wananchi waliona tuhuma hizo hazina uzito sana na matokeo wakaamua kumchagua kutokana na record yake alipokuwa wizara ya Ujenzi. Bahati mbaya sana kwa Msiba ni kwamba hizi Tuhuma amekosea na kuzitoa mapema sana, kiasi kwamba mpaka kipindi cha uchaguzi kifike zitakuwa zime expire .
Zaidi kinachomfanya Bernard Membe, Kachero Mbobezi kung'aa sana kwa sasa ni kutokana na utendaji kazi wa JPM ambao Wananchi wengi wanaona haufai. Na hii inatokana na kuporomoka kwa hali za uchumi za wananchi wengi na kusababisha maisha Yao kuwa magumu sana tofauti na miaka minne iliyopita.
JPM anaonekana kutawala Nchi kwa nguvu kubwa sana, jambo linalopelekea wateule wake kufanya kazi kwa woga na bila ubunifu. Kwa sababu mtu Muoga hawezi kuwa Mbunifu.Mtu Muoga hupenda Sifa.
Kwa hali ya Kisiasa ilivyo sasa Hata wapinzani wataona ni bora kumpa sapoti Membe pengine labda kunaweza kuwapa ahueni hali itakawafanya waweze kufanya siasa bila kubughudhiwa Kama ilivyokuwa wakati wa Kikwete. Ndani ya CCM hali ni hivyo hivyo. Wengi wanaugulia maumivu. Watu wamechoka.
Kwa ndugu Membe, kuna hii kauli yake aliyoitoa majuzi. "KAZI NA BATA" hii kauli inaamsha hisia za watu wengi sana,Ndani ya CCM na hata Upinzani. Ni kauli inayowapa watu matumaini mapya baada ya kukata tamaa, Wananchi hawako tayari kuendelea kuvumilia hali hii ngumu ya maisha kwa miaka mingine mitano.