Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Mkuu Kiranga, kauli ya kuoteshwa ni tamathali za semi tuu kuwa bado anatafakari na kusikilizia the "inner calling", which honestily its good!. Kabla mtu hajakimbilia kwenye urais, lazima asikilize "sauti" from within itakayomwambia "gombea ni wewe!", hivyo kuufanya urais kuwa ni wito na atakayechaguliwa awe kweli ni "chaguo la Mungu!".Kwa hiyo na hizo "Ze Komedy" za kuoteshwa unazimeza nzima nzima siyo?