Ummy Shahuluru
Member
- Aug 30, 2018
- 89
- 88
Mimi sipendi sasa ila nakupenda wewe kwa sababu ya ujasiri ulionao wa kuamini na kusimamia mambo ambayo hayawezi kutokea,Uko imara Mkuu nakupenda kwa hilo.
Najua unayaongea haya huku moyoni ukijua kuwa mwisho wenu ndiyo unawadia wa kuendelea kuwaibia watanzania rasilimali zao.