Bernard Membe na mkewe warudisha kadi za CCM. Aishukuru CCM kwa mema yote iliyomtendea

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,907
3,260
Leo saa 6 na nusu mchana mimi na mke wangu nikisindikizwa na mamia ya Wananchi wa Rondo, tumerejesha kadi zetu za CCM kwa wenyewe. Nimemwandikia KM wa CCM kuhusu tukio hilo na kukishukuru chama kwa mema yote kilichonitendea. Nawatakia kila la heri viongozi na Wanachama wote.

Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

Membe.JPG
 
Leo saa 6 na nusu mchana mimi na mke wangu nikisindikizwa na mamia ya Wananchi wa Rondo, tumerejesha kadi zetu za CCM kwa wenyewe. Nimemwandikia KM wa CCM kuhusu tukio hilo na kukishukuru chama kwa mema yote kilichonitendea. Nawatakia kila la heri viongozi na Wanachama wote.

View attachment 1499097
akaanzishe chama kwa ajili ya 2025.
kama vipi msituni labda!!
 
Leo saa 6 na nusu mchana mimi na mke wangu nikisindikizwa na mamia ya Wananchi wa Rondo, tumerejesha kadi zetu za CCM kwa wenyewe. Nimemwandikia KM wa CCM kuhusu tukio hilo na kukishukuru chama kwa mema yote kilichonitendea. Nawatakia kila la heri viongozi na Wanachama wote.

View attachment 1499097
Lakini brother wewe si ulifukuzwa ?
 
Leo saa 6 na nusu mchana mimi na mke wangu nikisindikizwa na mamia ya Wananchi wa Rondo, tumerejesha kadi zetu za CCM kwa wenyewe. Nimemwandikia KM wa CCM kuhusu tukio hilo na kukishukuru chama kwa mema yote kilichonitendea. Nawatakia kila la heri viongozi na Wanachama wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom