JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,260
Leo saa 6 na nusu mchana mimi na mke wangu nikisindikizwa na mamia ya Wananchi wa Rondo, tumerejesha kadi zetu za CCM kwa wenyewe. Nimemwandikia KM wa CCM kuhusu tukio hilo na kukishukuru chama kwa mema yote kilichonitendea. Nawatakia kila la heri viongozi na Wanachama wote.
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa