Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,666
- 15,065
Aliyekuwa mgombea urais wa ACT Wazalendo kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 na akaishia kufanya kampeni kwenye kijiji cha Rondo huku akijinasibu kuwa anataingia na kufunga goli dakika ya 90 bwana Bernard Membe, leo mbele ya waziri mkuu ametangaza kumuunga mkono rais Samia na kusema yupo tayari kuwa kampeni meneja wake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025!
Bwana Membe huwa anapenda kujitwisha sifa ambazo hana, ikumbukwe mwaka 2015 aliingia tano bora kwenye mchujo na kuishia kubwagwa hadi na kijana mdogo January Makamba.
Bwana Membe amekuwa waziri kwa miaka 15 lakini hakuna alichoifanyia nchi hii na wala hana legacy yoyote aliyowachia Watanzania
Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani | Mwananchi - Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani
Bwana Membe huwa anapenda kujitwisha sifa ambazo hana, ikumbukwe mwaka 2015 aliingia tano bora kwenye mchujo na kuishia kubwagwa hadi na kijana mdogo January Makamba.
Bwana Membe amekuwa waziri kwa miaka 15 lakini hakuna alichoifanyia nchi hii na wala hana legacy yoyote aliyowachia Watanzania
Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani | Mwananchi - Membe asema yuko tayari kurudi mahali fulani