zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,035
- 28,669
Ndio maana nimesema ni speculation na nimeongelea kwa perception za watu tofauti ili tuwe na balanced discussion.Nafuatilia michango yako kidogo naota moto kwenye baridi, sasa why you do not see our serious shortcomings?, na kama shortcomings haziwi amplified zitaondokaje ili tuweze kuchukua dola?
Nakuonya kisiasa, hii kuhusu Membe - usirukie mchezo wa drafti ambao wenzako wameupanga. Ukikuta wewe vuruga panga upya kwa kuwa ule ulioukuta wamepanga hautakuwa na control nao.
But anyway hata kma ingekua draft ya CCM haina madhara tena maana tulipata mgombea wetu so bado huwezi wapa credit upinzani kwa hilo?