Bernard Membe ataka Msaidizi wake Jerome Luanda aliyetekwa arudishwe bila Mchubuko, vinginevyo watafikishana Mbali, hela za Kampeni zatajwa

Wanataka tucheze ngoma yao ...
Hamna tukio hapo mgombea wa ACT aache kutumika...

Amini nawambieni
 
Kupitia ukurasa wake wa Twitter Bernard K. Membe amenena yafuatayo :"Tukio la kutekwa kwa Msaidizi wangu Jerome Luanda jana mara baada ya kutua kwenye kiwanja cha Kimataifa cha JK Nyerere international Airport nitalizungumzia kwa undani Saa 10 kamili leo. Nimewapa wahusika wanaodhani siwajui masaa matatu wamwachie akiwa mzima na salama."

Hii ni muvi tu,deep state inataka watu wasimjadiri Lisu anavyo ibomoa ccm kiasi kwamba Jiwe,anatoka mishuzi tu,wajadili utekaji wa wasiojurikana,
Kila kona matangazo na lipicha likionyesha kizee kisicho na mvuto,sasa Kama umefanya Mengi,na wewe ni jembe,sasa matangazo yoote na mabango ya nini?unamtangazia nani?wakati wote wanakufahamu.
Hili tukio la Membe la utekaji,litakuwa limepangwa na maccm na Membe mwenyewe
 
Back
Top Bottom