Umeniwahi nilitaka kuuliza swali kama hilo. Lakini Mkuu si unajua mpaka kuwa foreign minister lazima awe kipepeo kweli kweli. Alikula kiapo kikali mno. Unakumbuka issue ya Balozi Juma Mwapachu kule zanzibar alipokihama chama chenu na kwenda CUF 2010? Nini kilimkuta?? Kuna nafasi zingine za kiserikali ukishajiunga humo inabidi uchague. Upoteze uhuru wako au uachane nazo ulinde uhuru wako.Kama kuna Mtanzania ambaye huwa simwelewi Bernard Membe ni Mimi GENTAMYCINE na nashangaa ilikuwaje Yeye kuwa Foreign Minister Wetu.
Membe hayuko huru kutokana na nyazifa alizowahi kushika toka enzi za Nyerere.