Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,397
Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemteua Bernard Membe kuwa Mshauri Mkuu wa Chama hicho kuanzia jana, Agosti 02, 2020
Zitto amesema amefanya uteuzi huo kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Ibara ya 85(1) ya Katiba ya Kiongozi wa Chama hicho
Membe aliyehamia chama hicho hivi karibuni akitokea CCM anaenda kushika nafasi ambayo awali ilishikwa na Maalim Seif kabla ya kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho
Zitto amesema amefanya uteuzi huo kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Ibara ya 85(1) ya Katiba ya Kiongozi wa Chama hicho
Membe aliyehamia chama hicho hivi karibuni akitokea CCM anaenda kushika nafasi ambayo awali ilishikwa na Maalim Seif kabla ya kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho