Uchaguzi 2020 Bernard Membe anaongea lugha rahisi na anaeleweka kuliko Lissu

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,503
2,046
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.

Aliongea kuhusu mazao ya kilimo na changamoto za masoko, wavuvi na changamoto zao, watumishi wa umma na kuporwa mishahara yao kwa lugha rahisi mno. Kwa upande wake Tundu Lissu, ana uwezo mzuri wa kuongea, lakini anaongea kwa jazba, anatumia muda mwingi kuongelea mambo ya haki za binadamu, kumuongelea Dkt. Magufuli na kuongelea jinsi wapinzani walivyofungwa kusumbuliwa na Polisi, alivyopigwa risasi.

Haya mambo hayana impact kubwa kwa wananchi wa kawaida walio wengi. Kwa maoni yangu ajikite kuelezea matatizo yanayogusa watu wote, na jinsi atakavyoyatatua.
 
We ni mgumu kuelewa. Lazima kwanza umfungue mtu macho aone wapi anaonewa, haki zake ni zipi, nani kazipora na kazipora kwa vipi. Kuporwa kwa haki zake kumemleteaje umasikini, tatu alizonazo etc. Then unampa the way forward kuzitatua . Hayo ndiyo anayoyazungumzia Lisu!

Membe nasikia ameongelea matatizo ya watu wake wa kusini! Sijui, sijamsikia mwenyewe lkn nimesoma hapa JF kuwa jana kaongelea matatizo ya kusini Anyay charity begins at home, with time atakwenda mbali zaidi ya kusini!
 
We ni mgumu kuelewa. Lazima kwanza umfungue mtu macho aone wapi anaonewa, haki zake ni zipi, nani kazipora na kazipora kwa vipi. Kuporwa kwa haki zake kumemleteaje umasikini, tatu alizonazo etc. Then unampa the way forward kuzitatua . Hayo ndiyo anayoyazungumzia Lisu!
Membe nasikia ameongelea matatizo ya watu wake wa kusini! Sijui, sijamsikia mwenyewe lkn nimesoma hapa JF kuwa jana kaongelea matatizo ya kusini Anyay charity begins at home, with time atakwenda mbali zaidi ya kusini!
Mafisadi na wezi ndiyo wameporwa haki zao za wizi lakini wananchi wa kawaida wanafurahia sana serikali ya awamu ya tano.
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Benard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka...
Kwa hiyo wewe haki za binadamu, watu kuuawa na kupigwa risasi ni mambo ambayo huyaelewi?

Kifupi ni kwamba Ukiwa na akili ndogo Huwezi kumwelewa Lissu
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka....
Kama humuelewi Lissu sio kosa lako ni kosa la mfumo wa wetu wa elimu.
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka...
Kama alikuwa kwenye system, alishindwaje kutatua matatizo ya ziada?
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka....
Mwanadiplomasia ni mwanadiplomasia tu. Siasa za Membe mimi zinanishangaza sana. Ni mkali sana wakati fulani na nilikuwa namwogopa sana, lakini kumbe ni mpole sana pia.

Kuna siku niliwahi kumuona amekasirika wakati akiwa Waziri wa Mambo ya nje. Kuna hawa akina Lavalomanana sijui na mwenzake nani yule, wale wa kule Visiwa vya Anzwani. Walikuwa wanafanya vurugu kipindi hicho kumbe zikawa zimemghasi. Alikasirika halafu nikaogopa sana!
 
Mkuu rudia tena na tena kumsikiliza Lissu huenda hutaki kumsikiliza tu kwa kiburi. Membe alikuwa sehemu ya hiyo serikali iliyotesa na kuharibu haki za binadamu. Huyu Membe wako alitubeza haikai akilini eti sasa anatuonea huruma
 
Baada ya kuwasikiliza wagombea wa upinzani ambao tayari wameshaanza kampeni zao, nimejaribu kubainisha tofauti zao, ambapo kwa mtazamo wangu naona Bernard Membe ana uwezo Mkubwa Sana wa kuongelea mambo ya wananchi kwa lugha rahisi na inayoeleweka.
Membe anaeleweka kwa vitu rahisi anavyoongea kwa watu rahisi. Sisi wagumu tutaendelea kumsikiliza Lissu
 
Yaani unataka wagombea wasiongelee kuhusu Freedoms na haki?—umepotoka wewe!

Kama ni chakula, nguo na mavazi wafungwa wanapewa bure lakini nani anataka akaishi jela bila uhuru?.

Mtu haishi kwa mkate tu!

Magufuli katuondolea freedom of press
Freedom of expression, ukiwa vocal sana watu wasiojulikana wana wewe
Watu wanatekwa na kupotea
Wafanyabiashara wanabambikiziwa kodi

Halafu unataka wagombea wasizungumzie haki? —Jifikirie sana
 
Back
Top Bottom