NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,520
- 17,426
Nimenunua bando ili nijue kilichojiri kwenye kamati ya maadili nashangaa hadi sasa kimya!!!
Why kesho? si aseme tu leoleo?Baada ya Mwamba kutoka katika kile kinachoitwa kamati ya usalama na maadili ya CCM. kesho ataongea na waandishi wa Habari kutoka Serena Hotel ili kuwajuza wananchi kilichojiri....
Hongera sana Mwamba. tuko pamoja
Membe aliingia tano bora akawa wa mwisho.
Yani hadi Makamba Jr alimshinda kwa kura lkn leo anajitutumua kana kwamba hajawahi kuchukua fomu.
Tunaonya, akitaka kushinda kirahisi aende chadema atasafishwa na kubatizwa mleta mabadiliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asafishwe kwa lipi? Ana uchafu gani?Membe aliingia tano bora akawa wa mwisho.
Yani hadi Makamba Jr alimshinda kwa kura lkn leo anajitutumua kana kwamba hajawahi kuchukua fomu.
Tunaonya, akitaka kushinda kirahisi aende chadema atasafishwa na kubatizwa mleta mabadiliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uliishia namba ngapi?Membe aliingia tano bora akawa wa mwisho.
Yani hadi Makamba Jr alimshinda kwa kura lkn leo anajitutumua kana kwamba hajawahi kuchukua fomu.
Tunaonya, akitaka kushinda kirahisi aende chadema atasafishwa na kubatizwa mleta mabadiliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandalizi yote yamekamilikaKuna walakini akanyimwa venue!!
Alishasema hili jambo liliwekwa wazi tangu mwanzo litaendelea kuwa waziMembe kwanini asitulie tu na afanye yake (kama yapo) kimyakimya? Jasusi gani huyu?
View attachment 1348507
Membe aliingia tano bora akawa wa mwisho.
Yani hadi Makamba Jr alimshinda kwa kura lkn leo anajitutumua kana kwamba hajawahi kuchukua fomu.
Tunaonya, akitaka kushinda kirahisi aende chadema atasafishwa na kubatizwa mleta mabadiliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ongezea na Kachero MbobeziMzee wa Rondo, BM, Kazi na Bata, mwamba wa kusini au simba wa tandaimba unaweza mwita unavyotaka yote ni aka zake
Watamfukuza uanachama. Na watasimply quote "mambo yetu huwa tunayaongea kwenye vikao vya ndani". Siamini kama huo mkutano utafanyika. Membe knows better. Hawa jamaa watamuumbua kwani hakuwa msafi na kapiga pesa za kutosha sana enzi zileAlishasema hili jambo liliwekwa wazi tangu mwanzo litaendelea kuwa wazi
Mzee wa Rondo, BM, Kazi na Bata, mwamba wa kusini au simba wa tandaimba unaweza mwita unavyotaka yote ni aka zake