Inaonekana mzee mwenyewe ndio alikuwa akisukuma ndinga hilo.Dereva wa hiyo Range alikua yule mama au Membe mwenyewe?
Wale wauaji waliojinadi watamuua zito tena mjengoni na mwingine huko Iringa. Hawahitaji kuitwa Ndugu Bashiru. I assure you bro your place is prepared it is room 001HG the hague till further notice
kama mashine ni Left hand utakuwa sahihi ila
Gharama ni juu yako( transport plus accommodation)Hivi mwanachama ukiitwa huko unapewa nauli au hela ya mafuta?
Au utaratibu ukoje maana from Lindi to Dodoma mbali sana halafu ndio ukute blah blah nyingi tu huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo Dodoma nzima itajaa Noah kila kona na Nissani Patrol kila mtaa.Jamaa anajiamini kweli!
Sina shaka, HOJA ZITAJIBIWA KWA HOJA! All the BEST Shushushu M'bobezi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yaliyomkuta lowasa mpaka akalowa kabisa. Hawa watu waliwaonea sana watanzania hasa akina Lowasa kwa kutunga na kuunga mkono sera na sheria za hovyo.Membe si wa kukumbushwa kuhusu maamuzi onevu ndani ya CCM. Yeye mwenyewe alishawahi kuwa wehemu yq waratibu wakuu wa mipango miovu ya chama kea watanzania. Kwahiyo acha naye aionje na kufurahia kazi ya mikono yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo Dodoma!?Kwanini Makonda yuko Dodoma wakati si mbunge wala si mjumbe wa hiyo kamati ndogo ? Membe si mtu wa mchezo kama mnavyodhani
Kuna tetesi3kuwa ametakiwa kurejesha cardKwa jinsi unavyojiamini,ni wazi una hoja nzito za kujitetea, sema tu hawatasikiliza wala kuzingatia hoja zako bali wataingia kwenye kikao wakiwa tayari na maamuzi yao mifukoni.
Kwa mtazamo wangu, kikao hiki ni cha ushahidi tu ili ionekane umepewa haki ya kusikilizwa.
hahah ataambiwa na hilo ni kosa lingineDuh! hadi ameamua kuweka mwaliko huo kwenye mitandao ya kijamii!!!!
Material ya nchi gani?, si Tanzania
Baada ya Mwamba kutoka katika kile kinachoitwa kamati ya usalama na maadili ya CCM. kesho ataongea na waandishi wa Habari kutoka Serena Hotel ili kuwajuza wananchi kilichojiri....
Hongera sana Mwamba. tuko pamoja