Tetesi: Bernard Kamilius Membe Meets CHADEMA top officials, The 2020 election tops the agenda

Nina elimu ya kidato cha pili, iliyokatishwa na kupoteza mzazi wa kunilipia ada. Ila nina uelewa mpana wa mambo. Huku kwenye siasa wala sibahatishi, ninaijua ndani nje. Yaani kama ww ndio una masters ya sayansi ya siasa, sijutii kutokuwa intellectual.
Umedhihirisha elimu yako .Huwezi kujutia kwakuwa huwezi jua tofauti mimi niliyesoma form two nikaimaliza nakua nafhamu ulichonacho. Ni kawaida mwenye bachellor kudhani anajua sana
 
Uko sahihi kabisa, Mbowe akiamua kutokana na nafasi yake ndani ya chama hakuna wa kubisha, ila support iko kwetu, safari hii ndio atajua wenye nguvu ni sisi wafuasi na sio yeye. Chaguo letu ni Lisu na sio muhuni yoyote. Huko ccm Magufuli akiamua ndio hakuna wa kupinga, sio cdm ambayo nguvu yake ni watu.
Dogo ulale tu. Eti mna support. Yaani Baba Mkwe ajenge Sacco's nyie wakuja mje mlete maneno? Lissu mshamba hana lolote hana hela.
 
Mkuu, Chabusalu, Kwanza asante Kwa uchambuzi wako

Uchambuzi wako huu kwangu Mimi naweza kuuita ni uchambuzi usiokuwa na kiini cha kuonyesha udhaifu wa umarufu wa JPm ama pengine unayonia ya kutaka kuonesha udhaifu wa umatufu wa Magufuli Ila umeshindwa, eidher Kwa yeye amekuibia hoja zote ambazo ungeweza kuxibainisha hapa,

Ni kweli, Kwa temu hii ukiambiwa uoneshe udhaifu wa Magufuli, na serikali yake, kinyume na serikali zilizopita ambazo takribani kila eneo zilikuwa zimepwaya vibaya, usipotaja Neno Democrasia pekee, unaweza Anza kutafuta madhaifu mengine Kwa tochi

Ngoja nikurudishe nyuma, uchaguzi wa 2015 ndio ulikuwa uchaguzi mgumu kuliko chaguzi zote zilizowahi fanyika nchini mwetu Chini ya vyama vingi nchini

Sio Siri, Baada tu ya Mh E.lowassa kuondolewa kwenye kinyang'lo cha kugombea Uraisi, CCM iligawika makundimakundi hata kabla E.lowassa hajahamia upande wa pili, iliwapa shida Sana CCM kipindi hicho

Na baada ya maamzi ya Mh lowassa kutangaza kuhamia upinzani, wengi tuliamini huo ndio ulikuwa mwisho wa ccm, CCM washukuru kwamba waliyekuwa wamempitisha kuwa ndio mpeperusha bendera ya Uraisi, alibebwa na sifa zake binafs na sifa zake hizo ndizo zilizoibeba Ccm badala ya CCM kumbeba Magufuli, JPM ndio aliibeba CCM, na ndio maana hata Kampeni zake ilikuwa ( Chagua Magufuli) na si chagua CCM

Maana yake Huyu JpM alijibeba mwenyewe,

Nikurudishe kwenye hoja yako unayomshambulia JPm kwamba, eti alivyovifanya Vyote vilikuwa ni maono ya Jk, wewe unachokisahau ni kimoja tu na sina hakika unakisahau au tu Kwa sababu ya uharaka wa kuona makosa bila kujiuliza ni Nani anastahili kubebeshwa laumu hizo (makosa hayo)

Chama huandaa Ilani ya miaka mitano mitano, na nilazima Wakati wanaandaa Ilani hizo wajiridhishe kwamba zitatekerezwa zote Kwa kipindi hicho cha miaka mitano!!!

Sjui unanielewa, baada ya Ilani hizo kukamilika, hupew la anayewania nafasi ya Rais ili kunadi Sera hizo akiwa na uhakika atazifanya, sasa ikitokea hakuna utekerezaji wa Ilani hiyo, ama utekerezaji umekuwa busu, bado mambo hayo yaliyoahidiwa yatabaki kuwa deni Kwa Chama na si Kwa aliyekuwa Raisi,. Ni lazima ahadi hizo zitekerezwe Kwa awamu itakayofuata, na ndicho alichokifanya Mh JPM, alipewa viporo vilivyowashinda awamu iliyopita na mambo mapya mengine ya kutekerezwa

Sasa unapokuja kumlaumu Magufuli eti kwamba hajafanya zaidi Sana kafanya mambo ya kikwete ni kumwonea, Abayetakiwa kulaumiwa ni huyo Kikwete kwamba, Kwa nini hakuyafanya ktk vipindi vyake ikiwa Ilani ya uchaguzi huwa na vitu fanywa vya miaka mitanomitano??

Licha ya kufanya viporo lakini pia karibu asilimia zote kafanya yote aliyokuwa akiyanadi kuwa atayafanya, na ameenda mbali zaidi kufanya hata Yale ambayo hayakuwa kwenye Ilani ya CCM, utamlaumje huyu mtu

Kwenye swala la ujenzi na usimamizi, wa fedha, kivyovyote Mimi Magufuli namweka kuwa ndiye Raisi pekee Tanzania aliyeweza kusimamia vizuri kuliko maraisi wote Tanzania Kwa sasa

Swala la Nani atashindana naye ktk uchaguzi mwaka huu, Kwa kifupi na Kwa haraka Sana, atakayepatikana Kutokea upinzani yeyote Yule, hamuupendi ukweli, sasa nakwambia na nasisitiza kwamba, Watashindana lakini hawatashinda, shikilia Hilo mkuu, wembe ni uleule uliombeba JpM Kwa uchapa kazi wake ndio huo tena utambeba, Asante
Umetumia muda wako vibaya!
 
Former Foreign Minister ,Top Diplomat and retired Senior Spy meets CHADEMA top officials at Dar es Salaam aimed #Election2020 discussion.

The event followed by former Membe (former CCM cadre) who recently returned his Membership Card of the very powerful and influential party in Africa as its roots originate from back to Freedom fighting era.

Sources close to both parties told that CHADEMA want to deploy Bernard Membe due to his popularity as makeshift towards resurrection of the party due to recently internal crisis. The same strategy used 2015 Election to maximize the number of parliamentary seats has been backed by member of the floor, as they face a very stiff competition from President Magufuli who is admired by many in the world.

According to reports CHADEMA Senior figures have made clear that the odds of becoming presidential candidate are against Tundu Lissu and he is too predictable to use 2017 gunshot as @2020Election main strategy to seek public sympathy.

Until late night the members were yet to agree to line up Bernard Membe in 2020 Election due to large divided opinions as many feared not to repeat 2015 blunder Some told Mr. Membe to wait until 2025 but it has been seen so far Membe wont abide any delays.

The meeting Chaired by most influential man in the Party Mr. Freeman Mbowe who has been publicly criticized by outsourcing Former Prime Minister in 2015 Election.

Troll JF
Chadema sikio la kufa bado hawajifunzi,wao wakiona pesa za bure mimeno nje mwaa,wanafikiri kwa pesa na si kwa ubongo.
 
Na hicho ndicho anachokitaka Membe,apigiwe deki kama alivyokuwa aliyekuwa rafiki yake lakini baadae hasimu wake,mzee mvi.Sijui ule mkwara wa kumstaki Musiba umeishia wapi .Hela ya Gadaffi inamsumbua Membe na kumfanya awe kibri.
 
Sema kwa namna ambavo serikali ya awamu hii inavokandamiza upinzani ni wazi inahitajika nguvu Fulani hi I ambayo inaweza pia kuwa mwiba kwa ccm, walau upinzani waokoe majimbo na viti vya udiwani....Kuna mtu powerful anahitajika hata kama wasipompa agombee ila awepo kwene kipande Fulani
Yes
 
Wooh, this is very shallow observation....!!

You say, "...they (CCM) know everything about Lissu..."

Tell us about Bernard Membe...

Is there anything which they (CCM) don't know about him?

Bernard Membe was born, grew up and worked for CCM all of his entire life until yesterday when he pretended to denounce his father - CCM...

What is wrong with most people, that they can't see this drama being artistically designed and played in CCM chambers?
Membe behaviour while in opposition side is unknown till now
 
Kufanya kosa si kosa. Kosa ni kurudia kosa. Kumbuka Wahenga walisema, Usiache mbachao kwa msala upitao.
LOWASA ALISAIDIA SANA KUPATA WABUNGE WENGI NA MADIWANI AMBAO WASINGEPATIKANA KWA UGOMVI WA LIPUMBA NA SILAA. CCM WALISHATENGENEZA UGOMVI KATI YA CDM NA CUF KUPITIA LIPUMBA.

Tatizo haikuwa Lowasa .Tatizo ni kuanzisha UKUTA badala ya kuwalea wabunge na madiwani pamoja na viongozi serekali za mitaa. Chadema ilikubali matokeo ilhali moyoni haikukubali.

Wasiojua siasa wanadhani 2015 CHADEMA ingeingia Ikulu si sahihi .Tanzania ni kubwa sana .Pia siasa za ukanda na siasa za fedha. CCM ina Marais wastaafu,mawaziri wakuu wastaafu na wanadiplomasia2, kedekede Huwezi kutoa kirahisi
 
LOWASA ALISAIDIA SANA KUPATA WABUNGE WENGI NA MADIWANI AMBAO WASINGEPATIKANA KWA UGOMVI WA LIPUMBA NA SILAA. CCM WALISHATENGENEZA UGOMVI KATI YA CDM NA CUF KUPITIA LIPUMBA.

Tatizo haikuwa Lowasa .Tatizo ni kuanzisha UKUTA badala ya kuwalea wabunge na madiwani pamoja na viongozi serekali za mitaa. Chadema ilikubali matokeo ilhali moyoni haikukubali.

Wasiojua siasa wanadhani 2015 CHADEMA ingeingia Ikulu si sahihi .Tanzania ni kubwa sana .Pia siasa za ukanda na siasa za fedha. CCM ina Marais wastaafu,mawaziri wakuu wastaafu na wanadiplomasia2, kedekede Huwezi kutoa kirahisi

Ndugu Musulibasi, the objective of the Opposition political Parties shouldn't be acquiring some numbers of council and parliamentary seats only....

That's very important. But the most important of all is to overthrow the over five decades CCM regime and take control of government instruments that will facilitate the the process of making all necessary political and economic changes for the betterment of the people....

These changes can't be led by a person like Membe who joins the struggles through pre - emptive style...
 
Membe behaviour while in opposition side is unknown till now

Membe's behaviour is unknown to the Opposition??

What exactly do you mean?

In my opinion, people are not after his behaviour. We are after his MOTIVES....

I means what motive is behind his political struggles? Is he real the right person to lead and join the struggle?
 
Ndugu Musulibasi, the objective of the Opposition political Parties shouldn't be acquiring some numbers of council and parliamentary seats only....

That's very important. But the most important of all is to overthrow the over five decades CCM regime and take control of government instruments that will facilitate the the process of making all necessary political and economic changes for the betterment of the people....

These changes can't be led by a person like Membe who joins the struggles through pre - emptive style...
I understand but the nature of majority voters dictates that Membe will attract more followers than Lisu.

Again ccm are well prepared for the battles in northern Tanzania but not in the southern regions .

Chadema people should think critically . It is easy to play rough against Lisu than Membe.
 
Membe's behaviour is unknown to the Opposition??

What exactly do you mean?

In my opinion, people are not after his behaviour. We are after his MOTIVES....

I means what motive is behind his political struggles? Is he real the right person to lead and join the struggle?
Bahavior of a person makes it easier for challengers to choose strategies to pin you down. Lisu is vocal , He drinks , He speaks about liberalism including homosexual marriages. It is easy to wage propaganda against him.
 
Back
Top Bottom