Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Ndugu Membe ameongea maneno mazito na yenye hekima. Tabia ya taasisi zinazosimamia chaguzi kufanya kazi kwa maelekezo ya watawala ili zisitende haki ni jambo baya kabisa. Hawa watu wanahatarisha amani ya hii nchi.
Kwa kweli kama kutatokea kuvurugika kwa amani kutokana na hii michezo ya kuwanyima wananchi haki ya kuchagua au kuchaguliwa kwa uhuni basi viongozi wa tume na watawala watabeba dhima ya mambo hayo.
Kwa kweli kama kutatokea kuvurugika kwa amani kutokana na hii michezo ya kuwanyima wananchi haki ya kuchagua au kuchaguliwa kwa uhuni basi viongozi wa tume na watawala watabeba dhima ya mambo hayo.