Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Watu engine bana! wanajifanya hawaijui bongo!.....machejo tu. Bongo kununua gari mpya mpaka uwe FISADI! Acha tujinafasi na mayuzdi zetu...teh...teh! ngoma ya mwaka 2000 mpya kabisa bongo, ndiyo ni hatari kwa mazingira na usalama, lakn viwanda vilivyopo Japa ni HATARI zaidi kwa afya na usalama. Mtu anahitaji gari kwa ajili ya kuendea kazini, uwezo wake ndy huo kwa nini akope Mapesa kibao?
YA NINI UTUMBO UTUPWE WAKATI WENYEWE TWALIA NDIZI!
Karaghabaho na utozi wenu!
YA NINI UTUMBO UTUPWE WAKATI WENYEWE TWALIA NDIZI!
Karaghabaho na utozi wenu!