Benson Kigaila atuhumiwa kuuza kata bmoja bariadi kwa chama chake cha zamani

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
maneno mengi sana yaliyosemwa humu kuhusu kiasi cha pesa amabcho mkurugenzi wa mafunzo Benson kigaila alipewa either na chenge au cheyo imefahamika lrasmi leo,
Alipewa kiasi cha shilingi million 3 na si 19 kama ilivyolipotiwa mwanzo,alipewa hizo pesa ili kudhoofisha nguvu ya chadema iliyokuwa inapenyeza kuingia bariadi na probabaly huo ndiyo ungekuwa mwisho wa utawala wa ccm na UDP wilayani bariadi.
Ikumbukwe kuwa ni Rushwa hiyo ndiyo iliyosababisha chadema wasiwe na mgombea bariad kwenye uchaguzi wa hiyo kata, pia kabla ya kujiunga na chadema kigaila alikuwa mwenyekiti wa vijana wa udp, nimeandika haraka haraka , lakini kumbuka chimbuklo la mgogoro wa bariadi ni Erasto tumbo amabnye na yeye alikuwa udp
kwa maan nyingine migogoro iliyopo chadema chanzo chake ni mamaluki, sijawahi sikia watu pure chadema kama msigwa na heche wakiwa chanzo cha migogoro chaeme , migogoro mingi chanzo ni wale malaya wa vyama mara cuf, mara nccr mara ccm
naomba hili lisihusishwe na bavicha maana humu kluna wajinga kila kitiu wao na uchaguzi wa baviocha tu , kuhusisha hili na bavicha ujue wewe ni low minded person
 
Mbona wapo ma cia wengi tu ndani ya chadema . Paka tufike 2015 tutasikia uchafu mwingi tu wa chadema .
 
maneno mengi sana yaliyosemwa humu kuhusu kiasi cha pesa amabcho mkurugenzi wa mafunzo Benson kigaila alipewa either na chenge au cheyo imefahamika lrasmi leo,
Alipewa kiasi cha shilingi million 3 na si 19 kama ilivyolipotiwa mwanzo,alipewa hizo pesa ili kudhoofisha nguvu ya chadema iliyokuwa inapenyeza kuingia bariadi na probabaly huo ndiyo ungekuwa mwisho wa utawala wa ccm na UDP wilayani bariadi.
Ikumbukwe kuwa ni Rushwa hiyo ndiyo iliyosababisha chadema wasiwe na mgombea bariad kwenye uchaguzi wa hiyo kata, pia kabla ya kujiunga na chadema kigaila alikuwa mwenyekiti wa vijana wa udp, nimeandika haraka haraka , lakini kumbuka chimbuklo la mgogoro wa bariadi ni Erasto tumbo amabnye na yeye alikuwa udp
kwa maan nyingine migogoro iliyopo chadema chanzo chake ni mamaluki, sijawahi sikia watu pure chadema kama msigwa na heche wakiwa chanzo cha migogoro chaeme , migogoro mingi chanzo ni wale malaya wa vyama mara cuf, mara nccr mara ccm
naomba hili lisihusishwe na bavicha maana humu kluna wajinga kila kitiu wao na uchaguzi wa baviocha tu , kuhusisha hili na bavicha ujue wewe ni low minded person

This is mkuki kichwani, means ubongo out! Wacha umbea!!!
 
Mbona wapo ma cia wengi tu ndani ya chadema . Paka tufike 2015 tutasikia uchafu mwingi tu wa chadema .


Tatizo mkuu hao cia hawatoi vielelezo kaamili tujue mbivu na mbichi hivyo uwezo wao ni mdogo au la hakuna ubadhirifu.
 
si kweli habari hizo hapa jf naomba moderator uifute thread hiyo. nawasiliana na wadau mbalimbali wa bariadi waliopo kwenye kata hiyo baadaye nitawapa ukweli
 
si kweli habari hizo hapa jf naomba moderator uifute thread hiyo. nawasiliana na wadau mbalimbali wa bariadi waliopo kwenye kata hiyo baadaye nitawapa ukweli

Sasa ndugu, wewe bado unawasiliana na watu halafu unasema 'si kweli'!..tuletee majibu ya hayo mawasiliano ndio uwe na authority ya kusema kama si kweli au ni kweli. Ni mtazamo tu.
 
Sasa ndugu, wewe bado unawasiliana na watu halafu unasema 'si kweli'!..tuletee majibu ya hayo mawasiliano ndio uwe na authority ya kusema kama si kweli au ni kweli. Ni mtazamo tu.

bado sijampata, kuna mpampanaji yupo huko na niliwasilana naye na alikuwa kwenye kampeni.
 
si kweli habari hizo hapa jf naomba moderator uifute thread hiyo. nawasiliana na wadau mbalimbali wa bariadi waliopo kwenye kata hiyo baadaye nitawapa ukweli
Hao wanakusumbua tu hakuna kata iliyouzwa na jana walikuwa kwenye kampeni mgombea wa CDM anaitwa Teddy alihama toka UDP.
 
acha uongo mgombea wa chadema anapingamizi mahakamani alishafukuzwa kwenye chama sasa kigaila alipata wapi mamlaka ya kumrudisha chamani , ameshawekewa pingamizi na alishaondolewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom