TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
maneno mengi sana yaliyosemwa humu kuhusu kiasi cha pesa amabcho mkurugenzi wa mafunzo Benson kigaila alipewa either na chenge au cheyo imefahamika lrasmi leo,
Alipewa kiasi cha shilingi million 3 na si 19 kama ilivyolipotiwa mwanzo,alipewa hizo pesa ili kudhoofisha nguvu ya chadema iliyokuwa inapenyeza kuingia bariadi na probabaly huo ndiyo ungekuwa mwisho wa utawala wa ccm na UDP wilayani bariadi.
Ikumbukwe kuwa ni Rushwa hiyo ndiyo iliyosababisha chadema wasiwe na mgombea bariad kwenye uchaguzi wa hiyo kata, pia kabla ya kujiunga na chadema kigaila alikuwa mwenyekiti wa vijana wa udp, nimeandika haraka haraka , lakini kumbuka chimbuklo la mgogoro wa bariadi ni Erasto tumbo amabnye na yeye alikuwa udp
kwa maan nyingine migogoro iliyopo chadema chanzo chake ni mamaluki, sijawahi sikia watu pure chadema kama msigwa na heche wakiwa chanzo cha migogoro chaeme , migogoro mingi chanzo ni wale malaya wa vyama mara cuf, mara nccr mara ccm
naomba hili lisihusishwe na bavicha maana humu kluna wajinga kila kitiu wao na uchaguzi wa baviocha tu , kuhusisha hili na bavicha ujue wewe ni low minded person
Alipewa kiasi cha shilingi million 3 na si 19 kama ilivyolipotiwa mwanzo,alipewa hizo pesa ili kudhoofisha nguvu ya chadema iliyokuwa inapenyeza kuingia bariadi na probabaly huo ndiyo ungekuwa mwisho wa utawala wa ccm na UDP wilayani bariadi.
Ikumbukwe kuwa ni Rushwa hiyo ndiyo iliyosababisha chadema wasiwe na mgombea bariad kwenye uchaguzi wa hiyo kata, pia kabla ya kujiunga na chadema kigaila alikuwa mwenyekiti wa vijana wa udp, nimeandika haraka haraka , lakini kumbuka chimbuklo la mgogoro wa bariadi ni Erasto tumbo amabnye na yeye alikuwa udp
kwa maan nyingine migogoro iliyopo chadema chanzo chake ni mamaluki, sijawahi sikia watu pure chadema kama msigwa na heche wakiwa chanzo cha migogoro chaeme , migogoro mingi chanzo ni wale malaya wa vyama mara cuf, mara nccr mara ccm
naomba hili lisihusishwe na bavicha maana humu kluna wajinga kila kitiu wao na uchaguzi wa baviocha tu , kuhusisha hili na bavicha ujue wewe ni low minded person