neno mpumbavu hutamkwa na MTU mpumbavu na hushangiliwa na watu wapumbavuFikra zangu na zako yawezekana ni kama mlima na kichuguu, kwa akili za Wapumbavu wanafikiri kila cheo ukitaka ugombee lazima uache kazi,sivyo hivyo.
Kwa vyeo vya kisiasa,Rais,Waziri,Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya haviendeshwi kwa masharti ya utumishi ya umma yanayowahusika watumishi wa umma wasio wa vyeo vya kisiasa.Kulinganisha hayo makundi mawili ni tatizo la upumbavu tu.
Kwa mawazo hayo ya kipumbavu wangefikiri ata Obama kuwa alipaswa ajiuzulu kwanza urais kabla hajaingia kwenye kampeni za urais kwa mara ya pili mwaka 2012 kushindana na Romney, ni upumbavu tu.