Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,073
Huyu ni kiongozi wa Chadema anayetokea Mkoani Dodoma , inasemekana kitaaluma ni Mwalimu , sijui alifundisha wapi na alifundisha nini , lakini amehudumu Makao Makuu ya Chama katika Ukurugenzi kwa kipindi kirefu , ni kiongozi Shupavu asiye muoga na wala hajawahi kumung'unya maneno , hapa ndipo nilipoishia kumfahamu
Sasa naomba anayemjua zaidi atueleze ili na sisi tupate faida
Naomba kuwasilisha