Benson Bana au Baunsen Burner? - TBC mmechoka ile mbaya

Paddy

JF-Expert Member
Sep 22, 2010
462
304
Naona sasa imekua staili ya TBC kumtumia huyu Daktari kama msema chochote wao kwa upande wa wanazuoni baada ya kuona wale maarufu wote kama Lwaitama (CCM mfu) na wengineo wanataka mabadiliko. TBC leo imemhoji huyu Daktari nae kama kawaida akamwaga upupu wake. Jamaa anaona tume NEC haina tatizo. Tuandamane kesho tukamtoe pale UDSM au mnasemaje wadau?
 
Ebwae kuna jamaa mmoja alikuwa anaendesha kipindi STAR TV anaitwa Paul Mabuga sijui ni mtangazaji au nini naomba wakuu wa STAR TV walejee CV yake nina doubt kama ni mwanahabari kwani hata waalikwa ni wastaarabu kupindukia kwani ningekuwa mimi ningemchapa vibao.Jamaa ni mshabiki wa CCM mpaka amesahau kama ni mwanahabari bonge la stupid.Hawa akina Mabuga wako hata TBC1, Tido usipokuwa makini lawama zitaamia kwako. Zuzani hongera sana kawani wewe ni bonge la mtaaluma wa habari ndo maana uliaminika BBC,
 
Hivi kuna ukweli kura zilichakachuliwa kama ni kweli naomba mifano ya kweli katika maeneo husika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom