mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,837
Huyo Zahera aliyekuwa anamkataza Beno hazidai mishahara yake yeye mwenyewe wamemfukuza na kulipwa hajalipwa mpaka leo wamemtapeli
Mbona hawamsemi Ozil anakaa benchi na mshahara unaingia mkubwa lakini hajali