Wewe ndiye hujamwelewa Sitta awajibike vipi wakati mwizi anajulikana yupo na anataka kulipwa.
Mkuu' tunazungumza lugha moja' soma vizuri post yangu! Simuungi mkono Malisa anaposema wawajibike waliozuia serikali isinunue mitambo ya Dowans huku akiwa hasemi chochote kwa waliosabisha kampuni ya kitapeli ipate mkataba!