Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Hapo kwenye Dowans huyo bwana mdogo anataka kutuzuga. Wanaostahili kuwajibishwa ni wale walioingia mkataba huo na kampuni ya kitapeli. Wakaweka mkataba wenye masharti dhoofu makusudi na matokeo yake ndiyo haya. Sasa inaonekana anafanya makusudi kuhamisha tuhuma kwa wasiostahili na kuzipeleka kusiko.
Hiyo ni dalili tosha kwamba hakuwa sincere na maneno yake na anaongea asichokiamini. Shame on him!!!!!
Hiyo ni dalili tosha kwamba hakuwa sincere na maneno yake na anaongea asichokiamini. Shame on him!!!!!