Bado sijaona mantiki ya kumuhusisha Bernard Membe katika sakata hili la Arusha. Je, kuna uhakika gain kuwa Mary Chatanda na Ridhiwan Kikwete ni watu wa kambi ya Membe? Sina shaka KABISA kuwa Beno kanunuliwa na Mafisadi kwani vitendo anavyovifanya ni kwa maslahi ya akina Lowasa na kundi lake.
Kwani Membe ana tofauti gani na Chatanda,Ridhiwan na Lowasa? Kuna kipi cha kujivunia amefanya akiwa wizara ya mambo ya nje,leo aonekana anafaa zaidi kugombea urais kupitia magamba? Mimi hawa wote nawaona ni wale wale,hakuna jipya. Acha watekeze pesa,hukumu ni oktoba 2015.