Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Hizo hela Lowassa anazotumia kwenye kampeni za chinichini ni bora angeendelea kujenga maghorofa yake huko. Nakubali kuwa Lowassa ana nguvu bado ndani ya CCM, lakini NEC wakirogwa kumpitisha Lowassa kuwa mgombea wa CCM 2015, ndio unakuwa mwisho wa CCM. WaTz wa saiv wana upeo, sio wa kuwachezea chezea hata kidogo. Anahitajika mtu ambaye ni mchapakazi na anakubalika kwa wananchi, mtu kama Magufuli hivi