Benki zimeongeza tozo tena. Hii nchi inapoelekea ni kugumu sana, wanyonge tunazidi kunyongwa

Nimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku.

Nilikuwa tu natoa hela kwenye ATM ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila Maelezo, Bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye ATM kufika elfu 6 na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa hadi uende kwa wakala

Binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni Serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake.

Nimeumia sana kukatwa elfu sita, haya ndio matumizi yangu ya siku. Mwaka 2025 mimi na Familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwani.
Pambana
 
Just incase you didn't know, here is the concept of BANKING. It's all about scamming people..... 👇👇👇👇👇
 

Attachments

  • BANKING CONCEPT_A SCAM.mp4
    4.1 MB
Walimu ndio wanaongoza kwa malalamiko na kulialia katika nchi hii.
Sijamaanisha kuwa wewe ni mwalimu
 
Mkuu nina PHD ya nursery
Kwani nchi gani duniani ina katiba bora! Mbona na Marekani wanapingana na katiba yao wanalalamika kwa nini Rais kapeleka jeshi nje ya nchi bila ridhaa ya wananchi, acha ujinga wewe

Tulitakiwa hadi leo tutawaliwe na MKOLONI angalau
Hizi akili finyu zisinge kuwepo na ubinafsi
 
KCB walikuwa wanafanya mobile money transfer bure. Jana suddenly bila notice wameanza na “tozo” ya Tshs. 3500

Nchi ya Tozo!
 
Nimesikitishwa sana na hizi tozo za kila kukicha sijui hizi bank zinatafuta utajiri wa namna gani kutoka kwa wananchi wanao unga unga kila siku.

Nilikuwa tu natoa hela kwenye ATM ya bank nyingine tofauti na bank yangu ilikuwa unakatwa 2500 leo hii unakatwa 6000.bila Maelezo, Bila kufahamishwa kitu gani kimefanya gharama ya kutoa kwenye ATM kufika elfu 6 na ukizingatia bank nyingi zimejaza mjini huku mbali na mji bank hakuna kabisa hadi uende kwa wakala

Binafsi hii nchi ishakuwa ngumu kwangu hizi tozo kila siku sijui ni nani yupo nyuma yake. Kama ni Serikali basi ijue inanufaisha haya mabank ya wageni n kunyonya wananchi wake.

Nimeumia sana kukatwa elfu sita, haya ndio matumizi yangu ya siku. Mwaka 2025 mimi na Familia yangu tunaenda kusimamia vituo vya kupigia kura naona tunapandana kichwani.
Siyo nyie mliokuwa mkikataa kuitwa wanyongwe
 
Back
Top Bottom