wadau benki ya wanawake (twb)wameanza kuita shortilist nafasi walizotangaza novemba?mwenye taarifa 2peane info.
Yeah_wameaanza mkuu,...ijumaa iliyopita waliita baadhi ya watu ili wafanye interview jmosi
ok bwana babauya thanks kwa taarifa ni pm inbox.Ni kweli walifanyisha Interview Jumamosi,
Nilikutana na mama mmoja canteen ya IFM akiwa anajikumbusha kumbusha vitu
muhimu muda mchache kabla ya kuingia kwa Interview, Kwa mujibu wa yule mama ilikuwa inaanza saa nne asubuhi na walifanyia ofisi fulani pale maeneo ya IFM na kwamba hayo ni maandalizi pia ya Benki hiyo kufungua tawi lingine maeneo ya Kariakoo!
mkuu shortilist wameitwa ijumaa ili jumamosi wafanye interview mbona ni vigumu kwa mtu aliyeko mkoani kuwahi,acha tusubiri maybe tutaitwa na sisi hakuna kukata tamaa.
wadau benki ya wanawake (twb)wameanza kuita shortilist nafasi walizotangaza novemba?mwenye taarifa 2peane info.
Mkuu nina-share nao floor hapa.. So kama unataka informations zozote just pm me..
wadau ni post zote wamefanyiwa interview ama wanaita kwa kila post mojamoja.
wadau ni post zote wamefanyiwa interview ama wanaita kwa kila post mojamoja.
thanks kwa taarifa,lets keep on waiting hawa jamaa wako fair sana ktk kuajiri.Mkuu wanasema kwa posts mpya za tawi la kariakoo hakuna yeyote ambae ameshaitwa kwenye interview.. d
thanks kwa taarifa,lets keep on waiting hawa jamaa wako fair sana ktk kuajiri.
Pamoja Mkuu.. Ucicite kuuliza kama umecikia kitu na unataka uhakika kuhusu hiyo
..