mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 802
- 725
BENKI ya TPB imekabidhi madarasa mawili, ofisi ya walimu, madawati 50 na samani za ofisi katika Shule ya Msingi Kikale iliyopo Wilaya ya Kibiti mkoani Pwani.
Mradi uliogharamu Tsh. milioni 57.8 na kukabidhiwa kwa uongozi wa Shule na Mkuu wa Wilaya Kibiti Gulamhussein
Shaban Kifu
Mradi uliogharamu Tsh. milioni 57.8 na kukabidhiwa kwa uongozi wa Shule na Mkuu wa Wilaya Kibiti Gulamhussein
Shaban Kifu