Tunanyoosha nchi.Kwa hiyo hapo kuna watu watapoteza ajira zao
Uchumi unakua kwa 7%Vizuri wapi? Kufunga tawi Kama la Kariakoo Ni pigo kubwa kwa wafanyaje biashara
Mbagala tulikwishafunga benki tukauza samani na kompyuta kuwaonesha kuwa haitarudi tena.Benki ya FNB imetangaza kufunga matawi yake. Tawi la lililopo Quality Center litafungwa Juni 15 Huku tawi lililopo Kariakoo litafungwa Agusti 15.
Huduma zote Sasa zitahamishiwa tawi kuu mtaa wa Ohio ( FNB House )View attachment 1105424
Iv wanakuaga na Bei za kutupa eeeeWakiuza samani tupeane taarifa, nahitaji samani