Rosenchold
Member
- Jul 6, 2021
- 38
- 38
Hi! kwa wana Jf wote, I hope mnaendelea vyema kabisa. Kwa wanaopitia mikikimikiki na vigingi tuzidishe duha M/Mungu atusaidie.
Tusichoshane niende straight kwenye heading ya hapo juu. Benki ya Equity licha yakiwa na huduma nzuri lakini kuna mambo wanafeli mno.
Imagine Mbeya nzima wana sehemu ya ATM moja tu nayo ipo sehemu ya Mjini karibu na TRA,ukienda Mbalizi, Mwanjelwa na maeneo mengine yaliyochangamka huwezi kukutana na ATM service ya Equity yao kabisa, achana na hawa mawakala ambao nao wako wachache, hivi Equity wamekuja kufanyabiashara ama kuuza sura.
Wanaleta foleni zisizo na mpango. ๐๐๐๐๐
Tusichoshane niende straight kwenye heading ya hapo juu. Benki ya Equity licha yakiwa na huduma nzuri lakini kuna mambo wanafeli mno.
Imagine Mbeya nzima wana sehemu ya ATM moja tu nayo ipo sehemu ya Mjini karibu na TRA,ukienda Mbalizi, Mwanjelwa na maeneo mengine yaliyochangamka huwezi kukutana na ATM service ya Equity yao kabisa, achana na hawa mawakala ambao nao wako wachache, hivi Equity wamekuja kufanyabiashara ama kuuza sura.
Wanaleta foleni zisizo na mpango. ๐๐๐๐๐