mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,265
- 44,774
Zama zimebadilika,
MABADILIKO LAZIMA
MABADILIKO LAZIMA
United Republic of Loans.
United Republic of Loans.
Kweli hata Mimi naona world Bank inaweza kufa usiku huu huu.....wacha tuchukue tu mkopoAcha woga kijana. Kwanza utakuwa umeshakufa. Assumption ni kwamba wote baada ya miaka 100 ijayo hatutakuwepo. Hata anayezaliwa Leo miaka 100 ijayo atakuwa ameshakufa...
Bora huyu anakopa na kusema kuwa kakopaUnited Republic of Loans.
Mwafrika hasa Mtanzania bila kuomba kuomba haamini kama anaweza kujikwamua. Ndio maana wengi hawakumwelewa Mwamba Magufuli!This is good news!.
Kazi iendelee.
P
Tena?!!!Benki ya Dunia yaipa Tanzania mkopo wa Trilioni 1.5
Shida ya hao ni mihemko na ujinga ndio unawasumbua..Acha woga kijana. Kwanza utakuwa umeshakufa. Assumption ni kwamba wote baada ya miaka 100 ijayo hatutakuwepo. Hata anayezaliwa Leo miaka 100 ijayo atakuwa ameshakufa.
Kwa hiyo usiogooe hata ikitokea mtu akajitolea kukupa trilion moja we chukua huwezi jua kesho itakuwaje. Unaweza zichukua halafu mtoa mkopo akafa usiku huohuo ikawa relief kwako.
Mwambie huyo, kuna deni la mtu mmoja mmoja tu, yeye ashughurike na madeni yake 😂😂Bwashee hakunaga deni la taifa ni siasa tu!