Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,428
- 4,218
Mabeberu ukishayakubalia kila wanalokwambia yanaweza kukubeba ila ukienda nayo tofauti tu yanakukana hata kama unapaa yanakwambia unatambaa
We umekaa unakuna mbupu tu wenzako wanachakarika kwenye miradi kibao inayoendelea,uwekezaji umerudi kwa kasi,pesa imerudi kwa wananchi kwa kasi sana hasa kupitia kilimo mazao yamekuwa dili sana na bila kusahau watu wamepata ajira za serikali maelfu kwa maelfu na bado wanaendelea kuajiriwa hao wote wanaleta hela mtaani sasa mnataka serikali ya awamu ya sita iwape nini.Huu uchumi hukua mifukoni wa viongozi
Ni sawa tuu si utakuwa umekua?
You have narrow thinking,Kaa humo humo kibanda umiza endelea kulaumu mkuu.
MumeoWe umekaa unakuna mbupu tu wenzako wanachakarika kwenye miradi kibao inayoendelea,uwekezaji umerudi kwa kasi,pesa imerudi kwa wananchi kwa kasi sana hasa kupitia kilimo mazao yamekuwa dili sana na bila kusahau watu wamepata ajira za serikali maelfu kwa maelfu na bado wanaendelea kuajiriwa hao wote wanaleta hela mtaani sasa mnataka serikali ya awamu ya sita iwape nini.