JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
Benki ya Dunia inatarajia kufanya uzinduzi wa Toleo la 15 la Ripoti ya Hali ya Kiuchumi ya Tanzania “Tanzania Economic Update” kesho tarehe 3 Machi, 2021.
Ripoti hii ya uchambuzi huru wa Benki ya Dunia inaangazia changamoto, mafanikio ya kiuchumi, hali ya umasikini, vipato, rasilimali watu n.k
Vilevile inaangazia kila sekta na namna ilivyochangia pato la taifa na ukuaji wake.
Katika ripoti ya mwaka huu jambo kuu lililojadiliwa ni Tanzania kuingia katika nchi za uchumi wa kati wa chini (LMIC) na namna tunaweza kubaki hapo katika siku zijazo.
UPDATE:
1) Benki ya Dunia yasema Tanzania haikuwa serious na COVID19 mwaka 2020, yatushauri kujiandaa tu kabisa na ugawaji wa chanjo
2) Ripoti ya Hali ya Uchumi Tanzania: Benki ya Dunia yapendekeza mfumo wa ncha 3 kupambana na COVID-19 na Mporomoko wa Uchumi
Ripoti hii ya uchambuzi huru wa Benki ya Dunia inaangazia changamoto, mafanikio ya kiuchumi, hali ya umasikini, vipato, rasilimali watu n.k
Vilevile inaangazia kila sekta na namna ilivyochangia pato la taifa na ukuaji wake.
Katika ripoti ya mwaka huu jambo kuu lililojadiliwa ni Tanzania kuingia katika nchi za uchumi wa kati wa chini (LMIC) na namna tunaweza kubaki hapo katika siku zijazo.
UPDATE:
1) Benki ya Dunia yasema Tanzania haikuwa serious na COVID19 mwaka 2020, yatushauri kujiandaa tu kabisa na ugawaji wa chanjo
2) Ripoti ya Hali ya Uchumi Tanzania: Benki ya Dunia yapendekeza mfumo wa ncha 3 kupambana na COVID-19 na Mporomoko wa Uchumi