Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Hao ni CCM wenye PhD za jalalani wasiojua hiyo lugha ya Malikia wanajaribu kujitutumua wajulikane nao wamo zaidi ya Kisukuma kumbe ndo wanazidi kuonyesha umbumbumbu wao.Eti very very law; hivi hii Lugha mnaitakisha nini nyie wabembe wa Ufipa United?