Hassan r rwitita
Senior Member
- Nov 13, 2018
- 187
- 69
Nilikuwa najua uchumi wa mihogo tunayohangaika pa kuzia na mikungu ya ndizi inayoozea ushirika tukuyu imepata soko marekani na canada kumbe vocha za tigo ndio zinapaisha uchumi kwa 8% watanzania akili zetu zinatusha wenyewe