Benki ya Dunia: Tanzania hatarini kukumbwa na "stress za madeni"

Nasikitika na nchi yetu Tanzania hatuna mpango wa kubana matumizi tumerudi kwenye spending spree ya awamu ya nne tukitegemea mikopo
 
Shida tuliyo nayo sasa ni kwamba, Viongozi wetu wanatumia akili nyingi zaidi kutafuta mikopo badala ya kutumia akili nyingi kuvumbua vyanzo vipya vya mapato.
 
Back
Top Bottom