Benki Unazoweza kufungua akaunti Paypal

Sasa nikwepe personal account ya nini, wakati mi ndo natumia personal ambayo haihitaji bank account na haina usumbufu!

Sasa ukifungua kama business account sasa, maana lets say unawebsite na unauza nguo online, utakapolipwa na wateja hela zinaingia account ya paypal then unahitaji bank account kujitumia. But hapa pia sio lazima uwe na bank card kuwezesha yote haya. Kuna tofauti kati ya bank account na bank card.

Sasa wewe una generalize kwamba lazima utumie au uwe na bank account au card kutumia paypal, wakati sio lazima. Inategemea na account ya aina gani unafungua paypal. Umeelewa sasa?
Siajaelewa!
Maana hujasema unawezaje kuwa na meaningful account bila kuwa na akaunti ya benki?
Unachokwepa wewe ni kutumia akaunti ya mwingine...in anyway bank account lazima iwe involved ili akaunti iwe meaningful. the fact kuwa akaunti siyo yako haibadili chochote.

Anyway nilimaanisha personal bank akaunti na siyo perosnal paypal account!

Mengineyo tuyaache yalivyo turudi ktk mada husika!
 
We jamaa hujamwelewa Changman anachomaanisha, umekalia ubishi tu usiyo na maana. Nilidhani umeuliza swali ili uelimishwe kumbe we ndio unajua zaidi!!! Sasa uliuliza au kuomba msaada ili iweje? Kuna watu waajabu sana lol
wow! The prosecutor and the jury!
Kwanza umekurupuka kunihukumu kwa kuwa amejibu swali ambalo sikuuliza. Swali liko hivi: "Nimeonelea ni vema tukapeana benki ambazo unaweza kufungua akaunti na Paypal na ukanunua vitu mtandaoni." kwa maana nyingine, bank ambazo zinaweza fanya transaction kwa Paypal na sio criteria za kufungua akaunti ya paypal.

Kama mimi ni mtu wa ajabu na nina viungo kama binadamu wengine huyo wa kawaida anakuwaje :)
Duh! :banplease:
 
Hapa mtu kauliza swali JF, anapewa majibu ya kumuelimisha, then anabishana na hayo majibu. Sasa uliuliza ya nini from the first place.
Kama umesoma vizuri swali hii ni by-side discussion. Halikuwa swali nililouliza.
BTW Ukiuliza swali ina maana jibu lolote unapaswa ulikubali? Ndio principle ziko hivyo?
 
Siajaelewa!
Maana hujasema unawezaje kuwa na meaningful account bila kuwa na akaunti ya benki?
Unachokwepa wewe ni kutumia akaunti ya mwingine...in anyway bank account lazima iwe involved ili akaunti iwe meaningful. the fact kuwa akaunti siyo yako haibadili chochote.

Anyway nilimaanisha personal bank akaunti na siyo perosnal paypal account!

Mengineyo tuyaache yalivyo turudi ktk mada husika!

Sikiliza naomba kitu kimoja. Usitake kuwa mbishi pasipo na msingi maana hautajifunza kitu. Just sikiliza kwa makini. Kama huyo jamaa hapo juu alivyosema, usibishane na majibu kama hauelewi kitu.

Paypal wana aina kadhaa za accounts. Kuna inaitwa persona ambayo ndo hiyo nakwambia hauhitaji bank acoount maana hiyo wewe mwenye paypal account hau receive money, unaitumia kununua bidhaa tu so hauhitaji bank account. Business acount ndo hiyo nimeielezea hapo juu ikoje, so take ur time ingia paypal website jisomee uelewe kabla ya kuanza ubishi wakati unahitaji msaada.
 
Sikiliza naomba kitu kimoja. Usitake kuwa mbishi pasipo na msingi maana hautajifunza kitu. Just sikiliza kwa makini. Kama huyo jamaa hapo juu alivyosema, usibishane na majibu kama hauelewi kitu.

Paypal wana aina kadhaa za accounts. Kuna inaitwa persona ambayo ndo hiyo nakwambia hauhitaji bank acoount maana hiyo wewe mwenye paypal account hau receive money, unaitumia kununua bidhaa tu so hauhitaji bank account. Business acount ndo hiyo nimeielezea hapo juu ikoje, so take ur time ingia paypal website jisomee uelewe kabla ya kuanza ubishi wakati unahitaji msaada.

We sing different tunes, we talk different languages: we cannot go same way!
I talk practical side you speak the theories.
Well turudi katika mada husika nadhani hapo tupaache hivyohivyo.
 
Sikiliza naomba kitu kimoja. Usitake kuwa mbishi pasipo na msingi maana hautajifunza kitu. Just sikiliza kwa makini. Kama huyo jamaa hapo juu alivyosema, usibishane na majibu kama hauelewi kitu.

Paypal wana aina kadhaa za accounts. Kuna inaitwa persona ambayo ndo hiyo nakwambia hauhitaji bank acoount maana hiyo wewe mwenye paypal account hau receive money, unaitumia kununua bidhaa tu so hauhitaji bank account. Business acount ndo hiyo nimeielezea hapo juu ikoje, so take ur time ingia paypal website jisomee uelewe kabla ya kuanza ubishi wakati unahitaji msaada.

Bwana changman umemuelimisha vya kutosha. Acha kupoteza muda wako, kumbe mtu mwenyewe hajui chochote na anaamua kubisha pasipo sababu ya msingi. Hii ndo inayowafanya watanzania wengi kuwa maskini. Wanajifanya wanajua mambo wakati hawajui kitu. Wakijaribu kuelimishwa, wanaona kama watu wengine wanawaona wao wajinga. Kumbe wao wenyewe ndo wanajiinesha ujinga wao uko wapi.
 
Bwana changman umemuelimisha vya kutosha. Acha kupoteza muda wako, kumbe mtu mwenyewe hajui chochote na anaamua kubisha pasipo sababu ya msingi. Hii ndo inayowafanya watanzania wengi kuwa maskini. Wanajifanya wanajua mambo wakati hawajui kitu. Wakijaribu kuelimishwa, wanaona kama watu wengine wanawaona wao wajinga. Kumbe wao wenyewe ndo wanajiinesha ujinga wao uko wapi.


Kweli bwana ngoja mi nikae kimya maana napoteza nguvu zangu tu. Aende akasome kwenye website yao nahisi atapata majibu. This forum is for Great Thinkers only. Lakini wanapopita mamba hata kenge na mijusi hupita.
 
Kweli bwana ngoja mi nikae kimya maana napoteza nguvu zangu tu. Aende akasome kwenye website yao nahisi atapata majibu. This forum is for Great Thinkers only. Lakini wanapopita mamba hata kenge na mijusi hupita.

Huwa tunaiita MPD.
Thanks for your time though!
 
Jamani, kama mtu hujawahi tumia hizi huduma, na huzijui, usichangie! Mimi nina account ya paypal na ninanunua vitu online. Wakati nafungua account yangu, sikuhitajika kuwa na debit or credit card. Hapo anapoongelea mambo ya cards, anamaanisha kwamba kama ulishakuwa na cards za debt au credit hata kabla hujawa na acount ya paypal, inakurahisishia maana utatumia card yako straight ku top up ur paypal account itakayosaidia wewe kuwa na kiasi kidogo kwenye paypal account huku kiasi kikubwa kimebaki kwenye card yako, so unakuwa safe kwa wezi wanaoiba bank card details. HAUHITAJI BANK ACCOUNT KUTUMIA PAYPAL! Umeelewa au niongeze maelezo?
Kutransact kwenye PayPal sio lazima uwe na balance yoyote kwenye hiyo online account; la muhimu uwe umelink tu credit card yako na hiyo account. Kama ni case ya kuuza utalazimika pia kulink bank account yako ingawa kwa Africa ni nchi tatu au nne hivi pekee zinazoruhusiwa kuuza. Soma hii:

  • [h=4]Your PayPal balance: payment methods[/h]
PayPal is a fast, easy, and secure way to pay for purchases and send money to friends and family. Here's how it works:

  • When you use PayPal, we always check to see if your PayPal balance can cover the payment. If it does, we'll use that.
  • If your PayPal balance can't cover the entire payment, we use whatever balance is available before using the backup payment method you've linked to your account. This might be your bank account or a credit card you've designated.
  • If you don't have any funds in your PayPal balance, we'll use money from your bank account unless you've selected a different backup payment method.
You can always choose your payment method when you check out.
 
@changman
MADA NZURI SANA NAHISI ITATUSAIDA NA SISI
SASA
swali langu ni hili kwa mfano mimi nina kampuni nataka ku export mzigo sawa...
Halafu kukawa kuna watu from usa wanataka huo mzigo wanataka kutuma hela kwa paypal na mimi hizo hela nataka ziingie kwenye kiji account changu cha crdb
nafanyaje


vile vile iwapo nikiwa nataka ku import mzigo sawa halafu watu from uturuki wanataka niwatumie pesa kwa paypal ili wanitumie mzigo na pesa ziko kwenye the same kiji account changu cha crdb je nafanyaje
 
Mtu haufungui akaunti ya paypal kwa kutumia bank. Unachotakiwa kufanya ili utumie paypal kununua bidhaa online, ni kwenda website ya paypal unajirejista. Wao watakupa bank account yao ya marekani ambapo utadeposit hela huko. Baada ya siku mbili ukifungua account yako ya paypal utaona balance yako ishawekwa. Unaanza kununua bidhaa online. Hakuna haja ya kulipa monthly fees kwenye bank yoyote. Mtu kama hujui haya mambo acha kudanganya wenzako.

duuuh hao ni paypal ninaowatumia mm au wengine mkuu?me huwa natumia paypal kununua vitu ebay,amazon na kwingineko but navyojua ni kuwa unalink bank account yako ya hapa bongo na hiyo paypal account yako then wao wanakuwa kama watu wa kati kusimamia malipo direct kutoka kwenye bank account yako.au hao ni wengine me siwajui?
 
Nimeonelea ni vema tukapeana benki ambazo unaweza kufungua akaunti na Paypal na ukanunua vitu mtandaoni.
Exim najua wana master card ingawa sijajua details (sio mteja wao) lakini kwa kuwa ni mastercard CC then itakuwa inaweza. Ongeza benki ambayo umewahi tumia au unajua inaweza tumika na Paypal ili kurahisishia wengine wanaotamani kujua na kufungua akaunti hizi

1. CRDB => Unahitaji kuomba ku activate online purchase services. Waone katika matawi yao


Unatumia bank gani? Share nasi!

kwanza kabisa

Paypal is paypal na bank ni bank

Tuje kwa huduma za paypal

ili uweze kuoperate paypal account ni lazima upate bank card(Debit or credit) uweze kuilink na palypal account yako.
(kwa kuwa hakuna bank tanzania, inayoruhusu/yenye huduma ya direct access to paypal).

kwa upande wa kadi gani nzuri, mi naifagilia kadi ya EXIM Master Card.

kwa sabau hizi,

- Kulink ni mara moja tu, paypal activation code to confirm your card link to paypal huja kwa njia ya sms, huna haja ya kusubiri kwenda kuangalia kwenye satatement

- kadi ya exim haina mgogoro shehemu yeyote duniani mradi tu uwe na salio la kutosha kwenye account yako

- kuwa na exim master card sio lazima uwe na account ya kwaida(saving or check) na exim bank.

Nilijaribu Crdb kwenye paypal, activation code kuipata hadi uwapigie simu, na umpate mhusika anaeelewa ni maana ya hiyo code, na mara nyingi huwa zinarudisha majibu ya transaction decline decline n.k
 
Back
Top Bottom