Hio benki usirogwe
Equity wako vizuri sana,tembelea branch zao ama ingia kwenye website,nami ni mteja waoTueleze makato ya kutoa, kuangalia salio, statement, ya kila mwezi... faida yao kwa mwaka, tafadhali.
kumbuka wale sio watanzania,ni wakenya wapo kikazi zaidiEquity ndo taarifa ya habari,wapo fasta mpaka unashangaa wengine wanashindwaje!
Banks za nje utaratibu unakuwaje bro na mfano pia wa banks nzuriHaya mabenki ya kibongo sijawahi kuyaamini, binafsi huwa naamini bank za nje tu.
Banks za ndani nazitumia kwa safari tu ili kupata urahisi wa kutoa kwa ATM,s.
Haya mabenki ya kibongo sijawahi kuyaamini, binafsi huwa naamini bank za nje tu.
Banks za ndani nazitumia kwa safari tu ili kupata urahisi wa kutoa kwa ATM,s.