Benki Kuu ya Uganda yaonya dhidi ya kampeni za kisiasa zinazoandikwa kwenye noti

The Sheriff

JF-Expert Member
Oct 10, 2019
613
1,776
latest001+pix.jpg

Benki Kuu ya Uganda imewataka wananchi kukubali noti ambazo zina muonekano halisi kama zilivyotolewa na benki hiyo, na si vinginevyo.

Tangazo hili linamaanisha kuzuia noti ambazo zimeandikwa au kufutwa kwa namna yoyote ile.

Nchini Uganda kumekuwa na mtindo wa badhi ya wananchi kuandika maneno ya kampeni za kisiasa katika noti jambo ambalo Benki Kuu imesema linaweza kuharibu alama za kiusalama zinazotumika kubaini noti halali na batili.

Benki hiyo imeonya dhidi ya wanaokubali kupokea na wanaoziandika noti hizo kuwa vitendo hivyo vinaziondolea pesa hizo thamani.

===========

Bank of Uganda has advised members of the public to only accept notes with features designed by it and not any other person or institution.

This essentially puts a ban on banknotes that have been written on or defaced in any way.

“The Bank has noted with concern the several social media postings circulating images of Uganda's currency notes with hand written political campaign messages. This is to advise members of the public that stamping, writing and/or markings on currency notes interferes with the security features that are useful in establishing the authenticity of the genuine currency notes. It also amounts to defacing which exposes the holder of such a note or coin to the risk of loss of its value,” the BoU Governor, Emmanuel Mutebile said.

In a statement, Mr Mutebile said: "The public is advised to accept only those notes that bear features as designed by Bank of Uganda."

He added that "individuals involved with defacing and/or those accepting defaced notes risk losing value of their banknotes."

This follows a trend on social media where photos of banknotes that have been written on with political messages were fast becoming common.

Those displayed since Friday contained messages "vote Bobi Wine 2021" and "Vote Museveni 2021."

This means that Ugandans that have such money will lose it. It also tells others not to take it in the course of carrying out their businesses. Writing or defacing a country's banknotes is illegal.

It can blur security features but also shortens the lifespan of the currencies.


Chanzo: Daily Monitor
 

Benki Kuu ya Uganda imewataka wananchi kukubali noti ambazo zina muonekano halisi kama zilivyotolewa na benki hiyo, na si vinginevyo.

Tangazo hili linamaanisha kuzuia noti ambazo zimeandikwa au kufutwa kwa namna yoyote ile.

Nchini Uganda kumekuwa na mtindo wa badhi ya wananchi kuandika maneno ya kampeni za kisiasa katika noti jambo ambalo Benki Kuu imesema linaweza kuharibu alama za kiusalama zinazotumika kubaini noti halali na batili.

Benki hiyo imeonya dhidi ya wanaokubali kupokea na wanaoziandika noti hizo kuwa vitendo hivyo vinaziondolea pesa hizo thamani.

===========

Bank of Uganda has advised members of the public to only accept notes with features designed by it and not any other person or institution.

This essentially puts a ban on banknotes that have been written on or defaced in any way.

“The Bank has noted with concern the several social media postings circulating images of Uganda's currency notes with hand written political campaign messages. This is to advise members of the public that stamping, writing and/or markings on currency notes interferes with the security features that are useful in establishing the authenticity of the genuine currency notes. It also amounts to defacing which exposes the holder of such a note or coin to the risk of loss of its value,” the BoU Governor, Emmanuel Mutebile said.

In a statement, Mr Mutebile said: "The public is advised to accept only those notes that bear features as designed by Bank of Uganda."

He added that "individuals involved with defacing and/or those accepting defaced notes risk losing value of their banknotes."

This follows a trend on social media where photos of banknotes that have been written on with political messages were fast becoming common.

Those displayed since Friday contained messages "vote Bobi Wine 2021" and "Vote Museveni 2021."

This means that Ugandans that have such money will lose it. It also tells others not to take it in the course of carrying out their businesses. Writing or defacing a country's banknotes is illegal.

It can blur security features but also shortens the lifespan of the currencies.


Chanzo: Daily Monitor
Duh naona waganda wamesha mchoka dictetor m7 kiasi cha mtu kuharibu pesa ili kuonyesha hisia zake dhidi ya M7.
 
Back
Top Bottom